Mazishi yanatarajia kufanyika Leo saa 10. Mwili wa marehemu umehifadhiwa kwenye nyumba yake ya milele Leo sep 7 saa 10... Mbona kama sielewi afu saa hii ni saa tisa ujue
Dah we jamaa?? Hujui kama huyo VP walinzi wake ni waajiriwa wa hyo hyo serikali ya SISIMKA na hujui nchi hii SISIMKA ndio tasisi yenye nguvu kuliko zote mpaka wanachi watapozinduka toka usingizini?
Tulikuwa tunaishi kijijni, bwenini darasani kuonekana nadra labda matukio muhimu suspension za kutosha nyingine mwezi tu kabla ya necta cha ajabu nkatoka division 1.08 wakina John visomo wengi walitaga mwamba yuleee wakasema eti mm mchawi.. Hata wazee wangu hawakuamini maana sio Kwa kesi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.