Recent content by Chiblak

  1. Chiblak

    JamiiForums Tanzania Je, ni uchawi au saikolojia?

    Cc Mshana Jr
  2. Chiblak

    JamiiForums Tanzania Pombe ni dhambi, acha kuitumia

    Kusoma hii post nako dhambi vlevle... Dah ushanipa dhambi
  3. Chiblak

    JamiiForums Tanzania Sometimes Huhitaji Ushauri Wala Pesa… Unahitaji Tu Mtu Mmoja Akukumbatie na Kukuambia: Everything Will Be Okay

    Dah nyinyi wenzetu sijui mliumbwa na shetani, jini sijui kiumbe gani yaani mtu Yuko kwny hyo situation bado unamuogelea shit???🤔
  4. Chiblak

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Huo ndio uanaume halfu utasikia nani kama mamaaaaaasas
  5. Chiblak

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Police Arrest Four After Human Remains Found in Mukono Home

    Very sad
  6. Chiblak

    JamiiForums Tanzania JE HII KWELI WAKUU?

    Kuna hii kampuni inajiita adsblog unatumia link unajiunga lakn Kuna fee 14,500. Kazi Yako ni kufundisha wageni kiswahili online. Kuna aliyewahi kusikia kuhusu hl au utapeli?
  7. Chiblak

    JamiiForums Tanzania Inakuwaje unampa mimba mwanamke, ila Kichefuchefu, Uchovu na usingizi anapata mwanaume?. Sayansi inaweza kuelezea hili?.

    Kama mnakabidhiana mioyo itashindikana vichefuchef🤔
  8. Chiblak

    JamiiForums Tanzania Ulishawahi kuwa mbali na nyumbani kwenu/kwako kwa muda mrefu bila mawasiliano uliporudi ukakuta jambo la kuogopesha/kudikitisha?

    My bro passed away nikiwa form two nilipewa taarifa lakn sikupewa Fursa ya kushiriki mazishi Toka familiani.... Iliniuma sana ...He had very amazing dreams especially Kwa ajili yangu
  9. Chiblak

    JamiiForums Tanzania Nakuja kwako, ila hatufanyi kitu 🤭

    Nimecheka sana
  10. Chiblak

    JamiiForums Tanzania kuna utofauti gani wa kuwa "SIMP" na kuwa gentleman unaejali na kuwa romantic ?

    Afu utakuta Kuna kanakokwambia nataka mwanaume aliye simp, gentleman and romantic wakati hata babaake Hana yyte ktka hzo sifa .
  11. Chiblak

    JamiiForums Tanzania Mapenzi yanatesa sana

    Umeuwa Mkuu😄😄😄
  12. Chiblak

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu: Nakwenda kuwashughulikia huko huko Mahakama ya Rufaa

    🤣🤣🤣 Ngoja akutane na wenye nchi apewe posho ya makofi ya kumkuknguzua atoke uchizini
Back
Top Bottom