Recent content by Chiblak

  1. Chiblak

    Ulishawahi kuwa mbali na nyumbani kwenu/kwako kwa muda mrefu bila mawasiliano uliporudi ukakuta jambo la kuogopesha/kudikitisha?

    My bro passed away nikiwa form two nilipewa taarifa lakn sikupewa Fursa ya kushiriki mazishi Toka familiani.... Iliniuma sana ...He had very amazing dreams especially Kwa ajili yangu
  2. Chiblak

    Nakuja kwako, ila hatufanyi kitu 🤭

    Nimecheka sana
  3. Chiblak

    kuna utofauti gani wa kuwa "SIMP" na kuwa gentleman unaejali na kuwa romantic ?

    Afu utakuta Kuna kanakokwambia nataka mwanaume aliye simp, gentleman and romantic wakati hata babaake Hana yyte ktka hzo sifa .
  4. Chiblak

    Mapenzi yanatesa sana

    Umeuwa Mkuu😄😄😄
  5. Chiblak

    Tundu Lissu: Nakwenda kuwashughulikia huko huko Mahakama ya Rufaa

    🤣🤣🤣 Ngoja akutane na wenye nchi apewe posho ya makofi ya kumkuknguzua atoke uchizini
  6. Chiblak

    Elewa maana ya haya maneno ya Kinaijeria "AZAMAN" na "YAHOO BOY"

    Na wale wanaojiita MALUME maana yake nn Kwa wazulu?
  7. Chiblak

    Kuna uwezekano wa uwanja wa Arusha usipewe jina la Samia?

    Hii ya awamu hii ni Zanzania mkuu sio hyo old School ya mwalimu tumei rename
Back
Top Bottom