Mapenzi yanatesa sana

Mapenzi yanatesa sana

Wanawake huwa wanaona yote unayomfanyia ni HAKI yake, ndio maana huwa hakumbuki chochote kwako

Women always loyal to her feelings not Your Sacrifice!

Usije kuwaza et nilimlipia hadi Bill hospitali hakumbuki hata hili asiniache!!
 
Si amuache! Kuna watu wana muda wa kubembeleza aisee😅

Wanawake tuna uwezo mkubwa tu wakupenda tena tunanyenyekea balaa, ujeuri wote pembeni sa huyu sjui vp

Kwani ukiwa na mpenzi lazima utoe kitu ili uexperience penzi? Ameamua tu kutoa kwa mapenzi yake mwenyew huenda alizama kwenye wrong tundu 😂

Kwakweli ni ushamba shem lake😃💃🏽
Hata kama, mbona huyo huyo analiwa na mtu mwingine kwenye Hilo wrong tundu bure kabisa

Sema jamaa mshamba wa mapenzi ndo maana Dem anampelekesha, pia yawezekana Dem hamtaki jamaa ila jamaa anafosi penzi kitu ambacho ni kibaya sana.

Jamaa atafute mwanamke mwenye uelekeo na yeye Yani atafute mwanamke anayempenda jamaa aachane na huyo Dem wa mtu, wako wanawake wengi sana ambao wanaendana na mtu, sema watu tuuu hupenda kufosi mambo
 
Yani mkaka wa watu anajituma kumhudumia mdada.

Alaf all in all anakutishia atakuacha.kisa na maana kuna lengo fulan hujamtimizia.

Ata yale umefnyia hakumbuk.yaan kwa nn mna tutesa hivi.
Acha yawatese wapumbavu
 
Back
Top Bottom