Recent content by Chibidu

  1. Chibidu

    JamiiForums Tanzania Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai ni mgonjwa anatibiwa India! Tumuombee

    Watu mna maneno makali!!! Akiyaona haya maneno atarudisha mpunga
  2. Chibidu

    JamiiForums Tanzania Kwa wale wanataka kutumia mtandao bila ya kufuatiliwa,kuwa na siri kwa kile wanachoperuzi

    :D Kama nawaona vile wanavyochungulia
  3. Chibidu

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu kwenda nchini Ubelgiji kwa matibabu zaidi

    Tunamuombea kwa Mwenyezi Mungu ili amlinde na amjalie uponyaji wa haraka ili arudi nyumbani mapema aje kuendelea kututetea wanyonge wa kweli
  4. Chibidu

    JamiiForums Tanzania Japo jembe amekufa,historia itamkumbuka

    [emoji15] [emoji15] [emoji15]
  5. Chibidu

    JamiiForums Tanzania Hoja ya Mbowe waliyoidharau wabunge wa CCM imeanza kupata majibu

    Tena wawe wa ccm. ikiwa ni wale wa upande mwingine wa spika....business as usual
  6. Chibidu

    JamiiForums Tanzania Wachezaji wa African Lyon wadai Mohamed Fakhi hakupewa kadi ya njano

    ulitaka wakae kimya ili muwaonee kagera. hiyo ni haki yao. kila mtu atakula kwa jasho lake. kama marekani na north korea vile!!!
  7. Chibidu

    JamiiForums Tanzania Wapi naweza jifunza kupiga kinanda/piano

    Nenda THT utajifunza kila kitu
  8. Chibidu

    JamiiForums Tanzania Taarifa ya habari ya ITV leo coverage ni Christmas tu

    Hata mimi nimeshangaa kweli. Huku kwetu mngeta tangu jana askari wa JKT kambi ya Chita wanapambana na wananchi kugombea adhi. Inasemekana kuwa kuna watu wameuawa na wakuu wa majeshi na mawaziri wameenda huko leo asubuhi, lakini inaonekana sio story ya maana
  9. Chibidu

    JamiiForums Tanzania Baada ya mke wangu kununua kufuli, nimecheka sana

    Ficha funguo
  10. Chibidu

    JamiiForums Tanzania Kaka yangu kaforwadiwa ujumbe huu kwenye simu, afanyeje?

    endelea na msimamo huo ndugu ni mzuri sana. Ila baadae usirudi tena hapa kuomba ushauri baada ya kushindwa kwenda kwa ndugu zako kuomba msaada kwa kuwa uliwanyima slot katika familia yako
  11. Chibidu

    JamiiForums Tanzania Mjadala: Gharama na njia nafuu za kujenga nyumba ya kuishi Tanzania

    Hongera kwa kuthubutu na kuwa na malengo mazuri. Lakini unahitaji kujipanga zaidi, maana hapo ndio kwanza kazi imeanza. Kwenye kazi ya kujenga nyumba ya kuishi gharama kubwa iko mwishoni (finishing). Ingekuwa unajenga banda la kufugia, hapo ungeweza kusema umefikia mwisho. Kaza buti mjomba...
  12. Chibidu

    JamiiForums Tanzania Wema Sepetu na Ommy Dimpoz kwa mara nyingine tena waonekana kwenye picha hizi tata

    Hahahaaaa...relux and revisit the post
  13. Chibidu

    JamiiForums Tanzania Wema Sepetu na Ommy Dimpoz kwa mara nyingine tena waonekana kwenye picha hizi tata

    hivi ni kweli kwenye hizo picha tatu kuna wema? mmh! kweli wabongo hatuna kazi za kufanya
Back
Top Bottom