Sasa kama ndizo zimetokea sana ukitaka waweke zipi... yaani ninyi msipoona taarifa ya upande ule basi siku hiuo hamhesabu kama kuna taarifa imesomwaAu ni macho yangu tu?
Sasa kama ndizo zimetokea sana ukitaka waweke zipi... yaani ninyi msipoona taarifa ya upande ule basi siku hiuo hamhesabu kama kuna taarifa imesomwa
Matukio yametokea makubwa sanaIna maana hakuna matukio mengine yaliyotokea nchi hii mkuu??? Katika siku ya leo?
Hata mimi nimeshangaa kweli. Huku kwetu mngeta tangu jana askari wa JKT kambi ya Chita wanapambana na wananchi kugombea adhi. Inasemekana kuwa kuna watu wameuawa na wakuu wa majeshi na mawaziri wameenda huko leo asubuhi, lakini inaonekana sio story ya maanaIna maana hakuna matukio mengine yaliyotokea nchi hii mkuu??? Katika siku ya leo?
Matukio yametokea makubwa sana
Bahati nzuri au mbayA yote yanaihusu X mass![]()
![]()
![]()
![]()
Kwahiyo ulitegemea leo tv zirepoti kugombea msikiti wa mtambani? umefunguwa CNN?Au ni macho yangu tu?
Utakufa siku si zako kwa chuki iliyokujaa, ina maana na Tv Imaani pia ni habari za Christmas tu? kama ni hivyo haishangazi kusikia katibu wa Bakwata anafuga nguruwe.Hakuna ueledi...Haiwezekani taarifa ya habari ihusu Christmas tu, kwa nini?! It can't be! Huu ni ....