Ukusanyaji mkubwa wa mapato TRA haimaanishi moja kwa moja uchumi mkubwa au vyanzo vingi vya mapato. Dodoma ni makazi ya serikali hivyo biashara nyingi na shughuli za kiuchumi zimesajiliwa rasmi kwenye mfumo wa kulipa kodi TRA tofauti na miji mingine ndo maana unaona makusanyo ya Tra yako juu...
Kwenye swala la kiuchumi (mapato na uzalishaji)ni ngumu sana Dodoma kushindana na miji kama Arusha, Mwanza na Dar es salaam kwa sababu miji hii imeendelea kutokana na kuwa na shughuli nyingi za kiuchumi na mzunguko mkubwa wa pesa ila kwenye mpangilio Dodoma haitakua na mpinzani maana imepata...
Inaewezekana Mombasa kimajengo ikaizidi Mwanza japo nayo inajengeka na kuja kwa kasi pia ila kwenye miundombinu sidhani na kama ikiizidi basi gepu sio kubwa kama unavyohisi naona hii miji inaendana kwa kiwango flani hivi
MWANZA TANZANIA PICHA YA JUU 4K DRONE PHANTOM 4 PRO V2.0 / RAMALEE DRONE...
Ndio naona zinafukuzana kabisa na baada ya dunia kufunguliwa kwa jinsi tunavyopokea watalii wengi kwa sasa tegemea Arusha kukua kwa kasi maana kuna uwekezaji utakuja huko kama hoteli (Kempiski niliona wana plan hiyo) n.k
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.