nimecheka sana eti maji yashaingia ruba hayaogeki sisi kwetu ilongelo kuna kabwawa kanaitwa mtambuko tulikuwa tunapaka mafuta ya mgando halafu unaingia kuoga hapo ruba hakushiki unakuwa unateleza
Zile risasi zilikuwa na sumu ya DS wataalamu wa sumu wataelewa but tumuombee ila hiyo sumu 98% huwezi pona Bali ni kwa majaariwa ndomana unaona tupo kimya hatutaki maneno mengi know msije mkagundua antidote
Ilishanitokea nilikuwa na sister mmoja mwenye pesa zake kwa muda mfupi nilimiliki macheni ya gold na simu kila aina ila duu akikwambia Leo usitoke ukatoka mbona shida nikaamua kuachana na umarioo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.