Mpaka leo bado wanaumia hawa CCM.Ilikua inawakera sana kumbe kutokea mara kwa mara font ferd?
Mpaka leo bado wanaumia hawa CCM.
Seif kashatueleza hali ya ngonjwa unataka nini zaidi?Kuna ukimya kabisa Katika vyombo vya habari kuhusu hali invyoendelea ya Mbunge Tundu Lissu huko Nairobi.
Wala hakuna umma kupata taarifa kama ilivyokuwa awali ...vipi upepo huu umegeuka ghafla hivyo?
Get well soon Tundu Lissu.
Taarifa wanazificha chadema wenyewe, wanashindiwa Nini kupiga Nae picha tumuone avyoimpruvu na sauti yake tuisikie?.Kuna ukimya kabisa Katika vyombo vya habari kuhusu hali invyoendelea ya Mbunge Tundu Lissu huko Nairobi.
Wala hakuna umma kupata taarifa kama ilivyokuwa awali ...vipi upepo huu umegeuka ghafla hivyo?
Get well soon Tundu Lissu.
KUB hatumi ripot tena?
Msimwamini sana Ngabu!Wakaja na takataka kibao na matamko lukuki lakini cha ajabu kila hatua ndio ilikua inaongeza moto.
Ushauri wa Nyani Ngabu ulikua wabusara sana, kukaa kimya tu. Kwa hali ilivyo chochote au lolote wanalofanya kuhusu hili jambo linazua mjadala mrefu bila sababu.
Akimuona mkewe na watoto wake inatoshaa ina faida gani muuwaji kumuona mgojwaa ?Taarifa wanazificha chadema wenyewe, wanashindiwa Nini kupiga Nae picha tumuone avyoimpruvu na sauti yake tuisikie?.
Na wasiwasi kama huyu jamaa yupo hai.
Pengine kachari halafu jamaa wanaendelea kuzichanga Kwa kisingizio cha matibabu ya mfu tayari.
Haiwezekani mpaka Leo iwe tu eti anaimpruvu bila kapicha amefunikwa shuka au sauti yake tusiisikie, nasema impossible, kuna namna hapa si bure
Msimwamini sana Ngabu!
Endeleeni kutumia mfu kujipatia rizikiAkimuona mkewe na watoto wake inatoshaa ina faida gani muuwaji kumuona mgojwaa ?