Red Scorpion
JF-Expert Member
- Feb 1, 2012
- 5,736
- 4,252
Sasa tuweke Court Room Drama
Umesema umetaifisha Almasi kwa sababu Mwadui walitangaza thamani pungufu:
Serikali: ndio
Soma hii karatasi:
Serikali: nimesoma
Imeandikwa na nani?
Serikali:imeandikwa na serikali ya jamhuri ya muungano kupitia wizara ya nishati na Madini
Unaelewa maana ya provisional value?
Serikali; ndio,ni thamani ya awali
Kwa hiyo thamani halisi ingejulikana kwenye mnada?
Serikali: ndio
Kwa hiyo uliposema hawakutaja thamani halisi,hawa mwadui wangejuaje thamani halisi kabla ya mnada?
Serikali:kimya
Kamishna wa Madini alitoa kibali cha kusafirisha?
Serikali:ndio
Kwa hiyo taratibu zote zilifatwa?
Serikali: ndio
Kwa nini ulitaifisha kama unajua thamani halisi ingejulikana Belgium na taratibu zote zilifatwa
Serikali: kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesema umetaifisha Almasi kwa sababu Mwadui walitangaza thamani pungufu:
Serikali: ndio
Soma hii karatasi:
Serikali: nimesoma
Imeandikwa na nani?
Serikali:imeandikwa na serikali ya jamhuri ya muungano kupitia wizara ya nishati na Madini
Unaelewa maana ya provisional value?
Serikali; ndio,ni thamani ya awali
Kwa hiyo thamani halisi ingejulikana kwenye mnada?
Serikali: ndio
Kwa hiyo uliposema hawakutaja thamani halisi,hawa mwadui wangejuaje thamani halisi kabla ya mnada?
Serikali:kimya
Kamishna wa Madini alitoa kibali cha kusafirisha?
Serikali:ndio
Kwa hiyo taratibu zote zilifatwa?
Serikali: ndio
Kwa nini ulitaifisha kama unajua thamani halisi ingejulikana Belgium na taratibu zote zilifatwa
Serikali: kimya
Sent using Jamii Forums mobile app