Nauza nissan xtrail mil9.5

Nauza nissan xtrail mil9.5

Tatizo mnakuwa mnasikiliza mambo ya watu amabao utakuta pengine hata baiskeli hawana. Nina Nissan Ex-trail Manual, imemaliza Mwaka mzima sasa lakini haijawahi kuguswa na fundi yeyote. gari ni matunzo tu
Brother unaongea as if wewe peke yako ndio mwenye Ex-trail
 
Ok, ulipokua unakosea nissan wana oil zao special kama ulikua unaweka total au bp lazima ile kwako, nissan pia wana transmission fluid special kwa nissan tu. Kama ulifuata mashart haya na ukawa unanunua oil filter original bas nissan haiwez kusumbua hata siku 1
 
Ok, ulipokua unakosea nissan wana oil zao special kama ulikua unaweka total au bp lazima ile kwako, nissan pia wana transmission fluid special kwa nissan tu. Kama ulifuata mashart haya na ukawa unanunua oil filter original bas nissan haiwez kusumbua hata siku 1
This is Africa, masharti yote hayo ya nini !
 
This is Africa, masharti yote hayo ya nini !
Ndo hapo mnapokuja kusema xtrail mbovu, oil bp ya lita 5 ni elf 55 na oil kwa ajil ya xtrail ni elf 70 tu kwa huku mkoani, hapo kuna tatizo?
 
Ndo hapo mnapokuja kusema xtrail mbovu, oil bp ya lita 5 ni elf 55 na oil kwa ajil ya xtrail ni elf 70 tu kwa huku mkoani, hapo kuna tatizo?
Tatizo si pesa, wakati mwingine unaweza kumuamini mtu/fundi, lakini hali akafanya tofauti.. Ndo maana nimekwambia 'this is Africa'
 
Tatizo si pesa, wakati mwingine unaweza kumuamini mtu/fundi, lakini hali akafanya tofauti.. Ndo maana nimekwambia 'this is Africa'
Yan unafanya uzembe wa kutosimamia mali yako kisa "this is africa"...... Interesting
 
Maji yashaingia ruba hayaogeki. Kama namuona vile mwenye gari huko halipo anavyougulia maumivu. Teh teh teh. Xtrail ni kichomi.....
nimecheka sana eti maji yashaingia ruba hayaogeki sisi kwetu ilongelo kuna kabwawa kanaitwa mtambuko tulikuwa tunapaka mafuta ya mgando halafu unaingia kuoga hapo ruba hakushiki unakuwa unateleza
 
Maji yashaingia ruba hayaogeki. Kama namuona vile mwenye gari huko halipo anavyougulia maumivu. Teh teh teh. Xtrail ni kichomi.....
Duuhh, wewe ndo umemaliza. Jamaa kama anaweza afute uzi wake, eti Xtrail ni kichomi....
 
Duuhh, wewe ndo umemaliza. Jamaa kama anaweza afute uzi wake, eti Xtrail ni kichomi....
Hizi roho za kimaskin tuzikatae watanzania, sasa biashara haina effect yeyote kwako lakin unahangaika kuweka vikwazo
 
Mnatutisha wenye xtrail jmn
Usiogope! Mie ninatumia extrail, tens sikununua mpya bali nilinunua kwenye kampuni fulani huu mwaka wa pili, ipo vizuri kila siku inatembea si chini ya 60km.
Inaharibika kama magari mengine yote, spare zipo tele, nenda Ilala, zipo used spare parts as well as new ones though used zinaonekana kuwa imara zaidi ya new.
Kuna mafundi specialized kwa Nissan kama ina matatizo. Ila kitu muhimu ni kuwa na discipline ya service. Mf. Ukichelewa kuchange oil check engine inawaka. Mambo mengine ni kawaida tu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom