kweli mccm n Zaidi ya shetan.
wastaafu na watumishi ina wanyanyasa sana.....baadae utasikia jamaa anajitambulisha kuwa ni rais wa wanyonge then anataka wamwombee.
nimepita sehemu mbalimbali za mkoa wa Dodoma ,ambapo inasadikika walikipatia kura nyingi za ushindi chama cha mapinduz( ccm). nimegundua maisha yao ni magumu sana sana pia uelewa wao n MDOGO ; bado wengne wanajua MWL nyerere n rais wa Tanzania. . elimu inaitajka kwao
we kama n ccm ya chadema yanakuhusu nini kama sio umbea NA upumbavu? .Fanya yako utuachie chama chetu hata chadema ikifa si ndo furaha yenu nyie mccm NA jiwe kama mlivyo taman kufikia 2020? sasa ya mbowe yanawahusu nini ?!.......
Write your reply...hii mizuzu ilipo wanunu wabunge wa upinzani yakajua upinzani umekufa! yakasahau kuwa wananchi mamilion bado wanajitambua NA hawajiungi NA li chama chao LA kishetan.
Write your reply...kwahiyo Dr slaa ni asset kwa mccm? .tunajua hapa chadema ndo inajengeka na kuwa imara sana...kwa sababu mashetan wote naona wanakimbia nuru na kwenda kuzimu(gizani) shetan go go go....mukaunga na shetan mkuu uko. ukiona mtu anaamua kuasi (kuacha kumtumikia mungu)unadhan huyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.