Watu 10 muhimu waliomuweka Magufuli Ikulu 2015

Magufuli amewekwa madarakani na chama cha mapinduzi walewaliojiona ni zaidi ya chama mwisho wao tumeuona hakuna mtu mwenye nguvu zaidi ya chama
 
kwa Nape na January makamba upo sawa kwenye kampeni na wakati wa tukio lenyewe la uchaguzi nikwei walifaiti,ila ndani ya chama sio wao waliokuwa sababu ya NGOSHA kuteuliwa na chama,,

Magufuri alipata nafasi ya kusimamishwa na chama kugombea nafasi ya urais kwa nguvu za Mungu kaka, hakuna hata mmoja aliempigania ndani ya chama,wala hakuna Ambae alitegemea wala kuwa na muda wakujipendekeza kwa Ngosha kwakujua labda chama kitamsimamisha, wengi waliwekeza nguvu zao za fedha na kila namna ya kampeni kwa Lowasa na Membe,,,

Kwa Lowasa waliwekeza nguvu sababu ndani ya ccm alikubarika hakuna mfano,,kwaiyo walijua kwa 100% ni rais ajae kwa maana atawakumbuka katika teuzi na kuwalinda kama ilivyo desturi kwa africa wengi ujipendekeza kwa mtu mwenye muelekeo wa kushika madaraka kwa masilai ya biashara zao au kukumbukwa katika teuzi,

Na kwa Membe watu wengi walitegemea lazima chama kitamsimamisha kwa kuwa Rais aliekuwa anamaliza muda wake ndio ilikuwa chaguo lake Membe kwa 100%,,

Sasa bwana kwa nguvu za mwenyekiti aliekuwa anamaliza muda wake,,Lowasa akakatwa ili Membe iwe simple kupitishwa,, kwaiyo ndani ya ccm asilimia tisini walikuwa wanampenda na kumuitaji Lowasa,, sasa wakasema ngojea tumkomeshe Mkwere, wakamchagua mtu ambae wala hakuwa kwenye hesabu zao ili wakose wote,, wakampa kura magufuri, wakamtupilia mbali Membe, kwaiyo aliemnyima urais Lowasa ni swahiba wake Mkwere,,,kama kikwete angehamua kumpigania Rafiki yake Lowasa, na kwa namna alivyokuwa anapendwa ndani ya chama,, saizi angekuwa Rais,,

Kwaiyo siku zote ugomvi wa panzi furaha ya kunguru,, mtifuano wa kambi ya kikwete kumtaka Membe, na wanachama ndani ya ccm kumtaka Lowassa,, mtani wangu Ngosha akaokota embe dodo chini ya mti wa muharobaini kiulaini,,

Kwaiyo mzee baba Magufuri hakuna wakujivuna kuwa yeye ndio chanzo cha Ngosha kuwa Rais,, si kwa pesa za matajiri wala ndani ya chama,,, ni Mungi tu umpa madaraka amtakae,, na huyu Ngosha ni Mungu ndio alishampangia awe Rais,, kwa wasiompenda Magufuri,, me kwa upeo wangu wa kingumbaru nadhani wakulaumiwa labda Mkwere ndio chanzo,
Ni kwelikweli, Magufuli amewekwa na Mungu kwasababu azijuazo Mungu
 
Tuwe wakweli uraisi wa magufuli haukupangwa na mtu yeyote. Ulikuja ghafla baada ya makundi mawili hasimu kushindwana. Na hao wanoonekana kupmbana baada ya magufuri kuteuliwa walifanya hivyo kutokana na utaratibu wa chama kwamba anaeteuliwa kupeperusha bendera ndie wakumpigania hadi tone LA mwisho.
 
1. POLISI
2.NEC
3.POLICE
4.TUME YA UCHAGUZI
5.TANZANIA POLICE FORCE
6.JESHI LA POLISI TANZANIA
7.TPF
8.JPT
9.POLISI&NEC
10.NEC&POLISI
 
Mkuu Pascal Mayalla kwenye bandiko lako hilo la mwaka 2014 kuna kipengele hiko nilichokiscreenshot umeandika kwa mkono wako mwenyewe,kumbe unajua madhaifu ya huyu raisi wetu sasa iweje kwa kipindi hiki umekuwa mstari wa mbele kutetea madhaifu ambayo mkuu wa nyumba anayaonesha na angali ulishatuthibitishia kwamba he is probably mental unfit??..kwanini tu usiachage mambo yapite uyafumbie tu mdomo kwa kuwa unajua fika tatizo la mkuu??..umekuwa mtetezi mkubwa wa magu hiyo inanifanya niweke assumption ya kuwa upo kwenye movement za kutaka position fulani, sehemu Fulani kwenye authority japo sina uhakika saana..sasa Leo tuambie imekuaje unamtetea mtu ambaye hayuko vizuri kichwani(kwa madai yako) kwanini usiyakaushie tu mambo anyofanya?
Screenshot_20181021-222023.jpeg
 
kwa Nape na January makamba upo sawa kwenye kampeni na wakati wa tukio lenyewe la uchaguzi nikwei walifaiti,ila ndani ya chama sio wao waliokuwa sababu ya NGOSHA kuteuliwa na chama,,

Magufuri alipata nafasi ya kusimamishwa na chama kugombea nafasi ya urais kwa nguvu za Mungu kaka, hakuna hata mmoja aliempigania ndani ya chama,wala hakuna Ambae alitegemea wala kuwa na muda wakujipendekeza kwa Ngosha kwakujua labda chama kitamsimamisha, wengi waliwekeza nguvu zao za fedha na kila namna ya kampeni kwa Lowasa na Membe,,,

Kwa Lowasa waliwekeza nguvu sababu ndani ya ccm alikubarika hakuna mfano,,kwaiyo walijua kwa 100% ni rais ajae kwa maana atawakumbuka katika teuzi na kuwalinda kama ilivyo desturi kwa africa wengi ujipendekeza kwa mtu mwenye muelekeo wa kushika madaraka kwa masilai ya biashara zao au kukumbukwa katika teuzi,

Na kwa Membe watu wengi walitegemea lazima chama kitamsimamisha kwa kuwa Rais aliekuwa anamaliza muda wake ndio ilikuwa chaguo lake Membe kwa 100%,,

Sasa bwana kwa nguvu za mwenyekiti aliekuwa anamaliza muda wake,,Lowasa akakatwa ili Membe iwe simple kupitishwa,, kwaiyo ndani ya ccm asilimia tisini walikuwa wanampenda na kumuitaji Lowasa,, sasa wakasema ngojea tumkomeshe Mkwere, wakamchagua mtu ambae wala hakuwa kwenye hesabu zao ili wakose wote,, wakampa kura magufuri, wakamtupilia mbali Membe, kwaiyo aliemnyima urais Lowasa ni swahiba wake Mkwere,,,kama kikwete angehamua kumpigania Rafiki yake Lowasa, na kwa namna alivyokuwa anapendwa ndani ya chama,, saizi angekuwa Rais,,

Kwaiyo siku zote ugomvi wa panzi furaha ya kunguru,, mtifuano wa kambi ya kikwete kumtaka Membe, na wanachama ndani ya ccm kumtaka Lowassa,, mtani wangu Ngosha akaokota embe dodo chini ya mti wa muharobaini kiulaini,,

Kwaiyo mzee baba Magufuri hakuna wakujivuna kuwa yeye ndio chanzo cha Ngosha kuwa Rais,, si kwa pesa za matajiri wala ndani ya chama,,, ni Mungi tu umpa madaraka amtakae,, na huyu Ngosha ni Mungu ndio alishampangia awe Rais,, kwa wasiompenda Magufuri,, me kwa upeo wangu wa kingumbaru nadhani wakulaumiwa labda Mkwere ndio chanzo,

Upo sahihi 10001% Magufuli ni Mungu alimchagua na wala SIYO PESA/FEDHA au Upendeleo wa Kiongozi yeyote ndani ya chama tawala! Magufuli aliokota embe dodo chini ya mti wa mwaarobaini/mbuyu!!!!!
 
kuna siku unaandika mambo mazuri yasiyo na ushabiki wa ki-CCM hongera sana,ni ukweli usiopingika hata uwe ana uwezo na akili vipi huwezi fanikisha jambo lolote pasipo support ya watu wengine.hata hivyo kwa nchi za kiafrika uzoefu unaonyesha rais anayetoka madarakani ndio mwenye kijiti cha kumuweka rais ajaye.
kuna watu hadi leo wana hisi pasipo Mkapa kwamba JPM ansingekuwa rais hii ni Big NO-JPM amekuwa rais kwa sababu kikwete ndio alitak,huyo kikkwete angetaka hata membe awe rais ingekuwa hivyo.

Not at all!!!! You are totally wrong, Rais Kikwete ni Pete na Chanda na Membe, yeye aliamini Membe angalikuwa Rais ndo maana hata ubunge alitupilia mbali! Kamuachia Nappe.
 
9,10, Amshukuru Mkapa na mkwere, walisimamia vyema NEC kwa mgongo wa policcm dio jamaa akapenya, mbinu za makamba siju nape haziwahi mpa magu ushindi wa kwenye ballot box,Ma mimi Leo naongea ya moyoni,
ukwel sabbu msema kwel n mpenzi Wangu,achana na yule wa NEC na policm, anayejisifu ameshushwa na Mungu anapenda haki kumbe jizi tu kuanzia kwenye haki za watanzania(kura zetu kuchakachuliwa)hadi kwenye 1.5 trl. Jiz ni jiz tu. Unategeme upore ushindi afu uje uwatumikie wanyonge kwa haki. Shetani tu ndiye mwenye mamenofix kama hayo.
 
Mimi nafikiri watu muhimu sana waliofanya Kazi kubwa na Kusababisha JPM kuwa Rais no hawa wafuatao: Mzee Benjamin Mkapa, Jakaya Mrisho Kikwete, Philip Mangula, Kanali Kinana, Nape Moses Nnauye, Mwigulu Nchemba, January Makamba, Khamis Kigwangwala, Humphrey Polepole, Joseph Msukuma na Abdalla Bulembo
 
Huyu rais yuko ikulu kwa njia haramu kuanzia kwenye mchakato wa kuchagua mgombea urais ndani ya chama ulikuwa haramu, tume ya uchaguzi nayo ikamhalalisha kwa njia haramu, polisi nao walifanya kazi yao kubwa sana kuhakikisha haramu inakuwa halali
Kabisa kabisa Mkuu, huyu ni Rais wa Tume ya Lubuva full stop. Hakuna mapenzi wala mpango wa Mungu hapo, mchakato haramu wa Lubuva na Kapilimba ndio umewaletea mateso hayo, ambayo labda yatamalizika 2025 (kama hatotamani kupindisha katiba).
 
Back
Top Bottom