Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,860
- 50,644
Kama umenisoma vizuri nimeandika ni wao ndiyo mwaka jana walisema kwamba wamesababisha bei ya korosho nchini ipande. sasa kama imeshuka kwa nini isiwe ni wao hao waliyoipandisha mwaka jana ndiyo wameishusha?Sasa hapo serekali ama chama cha ccm, kimehusikaje kuangusha bei.
Hoja yako kuu nakubaliana nayo. Bei ya korosho inategemea soko lilipo na siyo sarakasi zetu za humu nchini.