Recent content by chemaraba

  1. C

    TANESCO, tangazeni rasmi kuwa mgao wa umeme umeanza

    sio kweli tanesco haihusiki na siasa maana wale wanauza umeme na kuna faida kwenye mishahara yao wakiuza umeme
  2. C

    TANESCO wanamhujumu Magufuli na Silaa

    shidah iko mwishoni next wiki tunaanza kutumia umeme utokanao na gesi. ukiona mateso yanazid bhas uokovu unakalibia
  3. C

    Naomba samahani kwa niaba ya wafanyakazi wa Tanzania!

    watu wengine bhana! wanachosha kaxi kazi. kazi ndo upate wewe? waweza kuta ni sungusungu huyo kijjn kwao
  4. C

    Utendaji mbovu wa ma HR (Human resources) wa TANESCO

    ivi wewe unajua mkataba watanesco uwe wakudum au miezi 6/3/15 unasema hutakiwi kusema siri za shirika. wew mbona mlopokaji nani akupe ajira . sisi sio wajinga huriziki nenda dawasco . sio twiga
  5. C

    UKAWA wakiingia madarakani, wataanza na haya

    kumbe ikulu hamtaiona hata chiz tu kwavipa umbele hivyo hakupi kura. naachana na ukawa kuanzia leo
  6. C

    Nimelamba mchepuko wa dingi, hautaki tuachane

    huyo atakua mkurunzinza
  7. C

    VOTE for K 4 REAL- Kilimanjaro Music Award

    team domo hawajielewi tunzo nyingi sio sababu mbona kinondoni wamepata tunzo juzi tu wakati mafuriko hayaishi?
  8. C

    Tanzania Admits Al-Shabaab Terrorists Attacking its Citizens and Police

    updates : katika wasio jitambua ni pamoja naweww mkikuyu eti unasema tuinue uchumi wakati uchumi wetu duniani muna utangaza kuwa wenu .na kwatamaa muka ufwata moto somalia uungueni musilala mike.
  9. C

    Meter ya umeme ya jirani inatoa mlio kama units zimeisha lakini umeme upo

    GREATTHINKERDAIMA hizo ni aram ambazo zina kuku mbusha kwamba unit ziko chini au 30.
  10. C

    GE2015 Zitto: Sitagombea Urais wala Ubunge 2015

    zito misifa ni bado akiri yake haija koma
  11. C

    Rais Mstaafu Benjamin Mkapa Ameuponda Mkataba wa EPA, adai ni Berlin nyingine

    Mzee kachemka wakati wa utawala wake aligawa gesi ya mnazibuy na songosongo leo mzee wa Disco Anaigawa ya mtwara analalamika.
Back
Top Bottom