Escrow Kimenuka: Uongo wa Taarifa ya Kamati ya PAC kuhusu sakata la ESCROW

ningekuona wa maana kama ungekuja na ripoti ya waliofanya miamala benki ya stanbic.hii ingesaidia kujua huu ukweli.ripoti yako haibadilishi ukweli ya kuwa pesa za umma zimeliwa na wajanja wachache.hii ni ripoti ya ya janja ya nyani tu kuzunguka mbuyu,haina maana yoyote.kujisumbua kusoma ripoti hii ni kujishushia hadhi yako tu.

Hii nayo ni hoja ama kioja?

Salim.
 
Faiza ukweli unabaki kuwa Kamati ya PAC iliendesha zoezi la uchunguzi wa miamala ua eskrow kisiasa na waliotenda kuwasulubu mahasimu wao wa kisiasa. Ndio maana kuna facts ziliachwa kwa makusudi ili wafikie malengo yao. Walitakiwa nao washitakiwe kwa kuwaficha mafisadi wanaosemekana kuwa walichukua pesa kwa visandarusi Stanbic bank.

Hapo ndiyo kwenye tatizo hasa. Sasa ukilea na kufuga huu utapeli wa kisiasa basi tutalipa gharama kubwa huko mbele ya safari.

Salim.
 
Unaweza kusepa tu, najuwa hii si saizi yako, wako waliolengwa kuisoma na kuielewa na hivi wapo busy wanaisoma na kama kuikokotoa wameshaikokotoa. Kumbuka hilo.

Usishangae ukayakuta bungeni.

Mama umeandika Udaku, wewe ndio ulisema kuwa hakuna mtu atawajibishwa kwenye issue ya Escraw, naona unazidi kuyala Matapishi yako
 
Mama umeandika Udaku, wewe ndio ulisema kuwa hakuna mtu atawajibishwa kwenye issue ya Escraw, naona unazidi kuyala Matapishi yako

Umerudi? Si ulisema huna time na hii habari?

Naam, na kauli yangu imesimama mpaka dakika hii. \\\\\\\Kwa yule mwenye kufikiri japo kiduchu.
 
Faiza ukweli unabaki kuwa Kamati ya PAC iliendesha zoezi la uchunguzi wa miamala ua eskrow kisiasa na waliotenda kuwasulubu mahasimu wao wa kisiasa. Ndio maana kuna facts ziliachwa kwa makusudi ili wafikie malengo yao. Walitakiwa nao washitakiwe kwa kuwaficha mafisadi wanaosemekana kuwa walichukua pesa kwa visandarusi Stanbic bank.

Naam, tunataka hilo libainike na ukweli na haki itendeke.
 
Naona unaanza kuwaza na kuandika kilugha.Juhudi zako za kuwasafisha waharifu zikifanikiwa utakua mkuu wa wilaya huko kwenu Uhororoja.kila lakheri.

= wahalifu.

Kutokana na ripoti hii, naona mhalifu namba moja ni Zitto kama Mwenyekiti wa PAC.
 
Last edited by a moderator:
Nimekutana na hii ripoti inayoeleza mapungufu ya kamati ya PAC. Bila kutumia maneno/lugha ya kuudhi naomba tuijadili kama GT.

Nawasilisha.
 

Attachments

  • Uongo Wa Ripoti Ya PAC.pdf
    218.9 KB · Views: 248
Ninachojua PAC chini ya Mh. ZZK ilishindwa kufanya kazi zake vizuri kwani licha ya kuarahisishiwa kazi na PCCB pamoja CAG bado ilishindwa kufanya vizuri zaidi, kazi iliyofanywa ni kwa asilimia 40 tuu ya kazi yote iliyotakiwa ifanywe,kwa kuwa fedha nyingi iliyochotwa ilipelekwa katika account ya benki ya STANBIC, fedha hiyo kamati haikufutilia wala haikupata ufumbuzi wa nani aligawana fedha iliyoko kule. fedha ambayo kamati iliweza kuifanyia kazi ni ile tuu iliyotolewa na Mkombozi Benki, napo kwakuwa tuu Mkombozi Benki waliweza kutoa Statement za Benki kabla, kimsingi benki hii ilionesha tuu fedha ya Bwana Rugemarila ambaye tunaambiwa fedha yake ililipiwa kodi, na fedha ile ilikuwa ni ndogo sana ukilinganisha na ile ya STANBIC. Kwa kuwa mpaka ripoti inasomwa kamati ilishindwa kubainisha ni nani alichukua fedha STANBIC benki, Ni rai kuwa PAC haikulitendea swala la ESCROW kama inanyopaswa kufanywa.
 
A moment walipoficha uchafu wa BOT, wizara ya Fedha na Brella nilijua kuwa ZZK amesha vuta cha juu kama kawaida yake ... Mnakumbuka kwenye EPA aliipotezea sana kiasi cha kuwashangaza Dr Slaa na Mbowe imekuwaje ZZK amekalia nondo nzito walizomkabidhi, walipokuja kugundua kuwa ZZK amevuta kwa Ballali ikabidi Dr Slaa mwenyewe aingie front kuwasilisha hoja iliyopingwa na baadae kuwekwa hadharani ... Ripoti ya PAC ilificha uozo wote uliofanyika Stanbic Bank kwa makusudi ... ZZK haaminiki si duniani wala kesho Akhera ... Tamaa ya mapande ya fedha, madaraka plus majivuno vitaendelea kumdidimiza sana ...
 
Mchambuzi SALIM KHATRI alifanya kazi ya ziada kuweza kugundua uongo uliowasilishwa kwa mbwembwe bungeni mwishoni mwa mwaka jana na aliyekuwa Mwenyekiti wa PAC. Ni challenge kwa waandishi wa habari kufanya utafiti kabla ya kuripoti.
 

Attachments

  • UONGO WA TAARIFA YA PAC (1).ppt
    223 KB · Views: 165
Zitto ni tapeli la kisiasa. Amelipotosha taifa kwa taarifa yake ya uongo huku akiwa amevuta mahela kibao kutoka kwa kina Stan Chart.
 
Zitto ni tapeli la kisiasa. Amelipotosha taifa kwa taarifa yake ya uongo huku akiwa amevuta mahela kibao kutoka kwa kina Stan Chart.
Ebwanaeeeee tumrudishe professor wetu muhongo kumbe zzk ni
Muongo hivyo duh kumbe siyo za umma zzk ni mnafiki number moja tz
 
Back
Top Bottom