watundawangu
JF-Expert Member
- Mar 26, 2011
- 250
- 75
Ndugu watanzania, UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI UKWA tukiingia ikulu ndani ya mwezi mmoja tutaanza na haya:-
1. Kufukuza vigogo ambao ni vibaraka wa CCM
2. Kupiga mnada mtambo wa kuangalia mawasiliano ya watu.
3. Kupiga mnada ndege ya Rais
4. Kukamata watuhumiwa wote wa wizi wote kuanzia wale EPA NA ESCROW yaani Manji, Rostam, Mramba, Yona, Lowasa, Mkape, anna, Yona, Ngereji, Tibai, na wengine.
5. Kurudisha nyumba zilizogawiwa bure
6.Kubadilisha Mabalozi wote wa Tanzania Nchi za Nje.. kama sio wote basi, wabadilishe angalau aadhi ya Mabalozi waliobebwa na Kikwete: Mfano, Balozi Jame Msekela wa Roma. Huyu anabadhilisha mali za wananchi wa Tanzania utadhani kama yeye siyo ni raia wa Tanzania?