Na ikumbukwe kuwa hati zipo za watu wengi sio kwamba ni wewe peke yako mleta Mada ndo unakiwanja hadi upewe hati mapema wapo wengi walotangulia kabla yako. Kuwa mvumilivu watakupatia
Hata viongozi wa dini wanatenda dhambi, si wakamilifu kama unavyofikiri ww mtoa mada, ila kama umemuangalia kwa muonekano wake huyo shehe ni msafi kweli
Mtu yeyote chini ya jua anamapungufu, hata wao wanamapungufu yao acha tuyajue tuu tujue tunaishi na aina gani ya viongozi wa dini, ambao walitakiwa wawe kioo cha jamii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.