Recent content by Chatco charter

  1. C

    Waziri Lukuvi nisaidie, ni mwezi wa pili sasa nasubiri saini ya kamishna wa ardhi ili niweze kupata hati

    Na ikumbukwe kuwa hati zipo za watu wengi sio kwamba ni wewe peke yako mleta Mada ndo unakiwanja hadi upewe hati mapema wapo wengi walotangulia kabla yako. Kuwa mvumilivu watakupatia
  2. C

    Cyprian Majura Musiba ni nani na anatumwa na nani?

    [emoji2] [emoji2] [emoji3] [emoji1] [emoji2]
  3. C

    BARUA YA WAZI KWA RAISI

    Hakuna mkamilifu, kikubwa ni kujirekebisha tuu ndo dawa labda Kama mkurugenzi ni malaika hapo sawa atamridhisha kila mtu
  4. C

    Video: Azimia jukwaani baada ya kutumbuliwa na Makonda

    Aisee, kama binadamu nimemuonea huruma sana huyo baba alozimia, lakini cheo ni dhamana hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Ipo siku
  5. C

    Ya Sheikh Mussa, tumuachie Sheikh Mussa mwenyewe

    Hata viongozi wa dini wanatenda dhambi, si wakamilifu kama unavyofikiri ww mtoa mada, ila kama umemuangalia kwa muonekano wake huyo shehe ni msafi kweli
  6. C

    Mange Kimambi kuangusha uongozi wa BAKWATA?

    Mtu yeyote chini ya jua anamapungufu, hata wao wanamapungufu yao acha tuyajue tuu tujue tunaishi na aina gani ya viongozi wa dini, ambao walitakiwa wawe kioo cha jamii
  7. C

    Mange Kimambi kuangusha uongozi wa BAKWATA?

    Lisemwalo lipo kama halipp laja...
  8. C

    Kama wewe ni binti na una miaka 25 au zaidi na hujui kabisa nani atakuoa na hamna dalili, usichukulie poa

    Tatizo mabinti wanachagua sana, kiukweli kila mtu akisema atulie sehem na mtu wala kusingekuwa na malalamiko ya wao kutokuolewa
Back
Top Bottom