Nimeachwa..

Nimeachwa..

"God Bless The Women"

In the middle of the night I heard her pray so bitterly
And so softly yeah...
She prayed for her children
She prayed for their education,
Then she prayed for the man
That left her with her children.
We, praise heroes everyday
But there are those that we forget To praise
The women of this world.
They don't run from anything
They stand and fight for what's right

[Chorus:]
Oh oh oh...
God bless the women

Even when times are so hard
They are so cool, calm and collected.
They don't run from anything,
They stand and fight
For what is right

They do not run from responsibilities
They stand and fight for what Is right
 
Nimegundua ana cheat na jamaa,kufatilia kumbe hawajaanza Leo,wala Jana.kumuuliza girl anasema yeah.. Umechelewa kujua..nkatengeneza mazingira aniombe msamaha,akawa hana habari..kumwambia tuachane..ikawa kama habari njema kwake..tho sikua tayari,wala kupanga tuachane..DAMN
Yani nigundue ananicheat, nae akubali kua ananicheat afu aniambie nimechelewa kugundua bado nimtengenezee mazingira ya kuniomba msamaha!!!!! Bro u have a golden heart, Mimi kitendo cha kugundua kanicheat na yeye kukubali kua ndio amenicheat tunaishia hapo.
 
Mkuu pole sana ila nashindwa kukushauri maana sijajua chanzo haswa cha kukuacha ni nn?

Ila kama tatizo labda una kibamia au huna pesa,hilo la kibamia sina la kukusaidia, kwenye pesa nakushauri uendelee kupambana Mkuu atarudi mwenyewe!

The worse part, ni kwamba uwe na kibamia na pesa huna, hapo ni mtihani Mkuu.
 
Kwanza relax na ondoa hayo mawazo hesabia kwamba hilo ni tukio limepita usilikumbukie tena.Ukiwa kazini kwako endelea tu na majukumu yako bila kutaka kuruhusu kukumbukia.Jioni baada ya kazi kama ni mtu wa mazoezi fanya mazoezi yako au kitu chochote kitakachoendelea kuku keep busy.Nakuambia ukifanyia kazi huu ushauri baada ya muda mfupi utakuta huna wazo naye na kama wengine walivyokushauri unaweza kuja kuwa mwenye furaha zaidi hasa utakapo mpata mwingine wa kutoka naye.Hata hivyo pole sana ndiyo mahusiano yalivyo.
 
Nimegundua ana cheat na jamaa,kufatilia kumbe hawajaanza Leo,wala Jana.kumuuliza girl anasema yeah.. Umechelewa kujua..nkatengeneza mazingira aniombe msamaha,akawa hana habari..kumwambia tuachane..ikawa kama habari njema kwake..tho sikua tayari,wala kupanga tuachane..DAMN
Dadeki... Huyo komesha
 
Ungeongea kiswahili tu mkuu wengine umetuacha tutashindwa vya kuchangia.
Ingawa mnasema humu wamejaa wasomi lakini na wasiosoma tumo.
 
In the abundance of water,a fool is thirsty.Go get another bitch for yourself and be happy again.
 
hahah Hata mm sijasoma kama yangu,habari Ni hivi,shemejio ,kipenzi cha moyo wangu kaniacha
Ungeongea kiswahili tu mkuu wengine umetuacha tutashindwa vya kuchangia.
Ingawa mnasema humu wamejaa wasomi lakini na wasiosoma tumo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom