MIXOLOGIST
JF-Expert Member
- Mar 1, 2016
- 15,520
- 39,103
Habari wana JF,
Kwanza kabisa naomba tumtunzie heshima yake Sheikh wetu mpendwa Mussa.
Pili, Sheikh wetu amefanya mengi yaliyo mema na kututabainisha katika matakwa na makatazo ya Mola.
Tatu, Sheikh wetu hajafanya zinaa, ameoa wake zake wazuri na wakupendeza.
Nne, hayo matendo ambayo Sheikh wetu anatuhumiwa kuyafanya kwa wake zake yanaweza kuwa yakawa yafanywa na baadhi ya wana JF humu ndani ambao wako au hawako kwenye ndoa.
Tano, bado haijathibitika kwamba Sheikh wetu anashiriki katika hiyo michezo pendwa na kwasabau hiyo basi si vyema sana kumuhukumu Sheikh wetu.
Mwisho, Mambo ya Sheikh Mussa, tumuachie Sheikh Mussa mwenyewe.
Asanteni
Kwanza kabisa naomba tumtunzie heshima yake Sheikh wetu mpendwa Mussa.
Pili, Sheikh wetu amefanya mengi yaliyo mema na kututabainisha katika matakwa na makatazo ya Mola.
Tatu, Sheikh wetu hajafanya zinaa, ameoa wake zake wazuri na wakupendeza.
Nne, hayo matendo ambayo Sheikh wetu anatuhumiwa kuyafanya kwa wake zake yanaweza kuwa yakawa yafanywa na baadhi ya wana JF humu ndani ambao wako au hawako kwenye ndoa.
Tano, bado haijathibitika kwamba Sheikh wetu anashiriki katika hiyo michezo pendwa na kwasabau hiyo basi si vyema sana kumuhukumu Sheikh wetu.
Mwisho, Mambo ya Sheikh Mussa, tumuachie Sheikh Mussa mwenyewe.
Asanteni