Hoteli gani nzuri na ya kisasa Morogoro?

Hoteli gani nzuri na ya kisasa Morogoro?

Akitaka kupata supu safi ya kuku wa kienyeji aende airpot pub kihonda magorofan hutajutaaa pesaa yako
Nataka Sehumu tuu ya Kupumzika
Kati ya 50,000-100,000/=TUU!
 
Nimekumbuka Nashera walipomuibia kaka Malima (RC wa mkoa wa Mara) hadi pete ya harusi. hahahahahahha. Lakini cha ajabu hawakuchukua bastola yake. hahahahahahahahahahha
Bastola baki nayo,si tunataka vito vya thamani
 
Bastola baki nayo,si tunataka vito vya thamani
Ila ilileta gumzo kwenye jamii juu huo wizi. Ilikuwa kama vile aliwekewa "kakileo" na "mdada" halafu akafanya yake maana aliibiwa room. hahahahaha halafu bila haya akawa anaonesha kwenye vyombo habari kidole chake kilichovuliwa pete ya ndoa imebaki alama tu hahaha
 
Hii Nasikia ni kuanzia 300,000
Though ni Nzuri sana IPO Kule Liti!
Nimekuelewa Mkuu. Nilienda Kuogelea Tu Hapo. Ila Ni Three Star Hotel, No Wonder Price Yake Ipo Hivyo. Mbali Na Hii Labda Ujaribu Lyamungo Ni Lodge.
 
Hata midland ya iringa road ipo poa sana na price yake ni resounable, breakfast yao ni bufee ila ukienda ya town road ile haipo poa sana, vyumba vidogo hata nafasi ya restaraunt hakuna
 
Wadau habari,
Baada ya Kazi ngumu,nimeona nikapumzike Mji Kasoro bahari!
Je ni hotel gani Nzuri na ya kisasa Ambayo Ina Range 50,000-100,000
Mkoani Morogoro?
Fioni/Flomi jina nimesahau kidogo zipo pale karibu na Msamvu uende ile ya ghorofa chumba kinaanzia 80,000 kuna spring bed,kiyoyozi,kafriji,birika la kahawa/chai unawekewa na sukari halafu wana breakfast ya kufa mtu,pia wanayo ingine sio ghorofa ipo hapo hapo karibu na kwenye mgahawa wa chakula wa mabasi yanyotokea njia ya Dodoma hapo wanaanzi 40,000 full kiyoyozi ila hapo kwa maoni yangu sio salama sana tofauti na kwenye Hotel ya ghorofa,hii ingine ni kama lodge,ila pia kuna breakfast ya kufa mtu
 
Top life hotel au Nashera.. Kuna upepo mzuri sana kutokana na ukaribu na milima
 
Nimekumbuka Nashera walipomuibia kaka Malima (RC wa mkoa wa Mara) hadi pete ya harusi. hahahahahahha. Lakini cha ajabu hawakuchukua bastola yake. hahahahahahahahahahha
ilikua noma Sana,,namimi kwenye kesi nkahusishwa..nkakimbia hadi nchi..
 
Back
Top Bottom