PrincessAnne
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 1,875
- 2,228
Hapana ingekua ni omba omba wala asingejificha hiyo tabia maana wale siku ya kwanza ya pili wanaanza kulia lia shidaNimekuelewa mkuu...nliogopa asijezoeaa akaanza kuomba omba sasaa maana itakuwa mimi ndo nimekoseaa
