Mwanaume kutoa hela bila kuombwa

Mwanaume kutoa hela bila kuombwa

Nimekuelewa mkuu...nliogopa asijezoeaa akaanza kuomba omba sasaa maana itakuwa mimi ndo nimekoseaa
Hapana ingekua ni omba omba wala asingejificha hiyo tabia maana wale siku ya kwanza ya pili wanaanza kulia lia shida
 
Mpatie kwa nafasi yako ona aibu atakutoa kuwa hufikiri kuwa anamahitaji mpaka akuambie atadhani huwa hujiongezi baadaye itakuwa shida jiongeze mkuu
 
Kama hajaanza kukuomba mpe. Atakua anakutafutia nafasi akuombe. Mwanamke ukianza kumpa hela hata kama kidogo anakosa nguvu ya kukupiga mzinga.
Na wanaokudanganya usimpe hela wanakupotosha. Wanawake tunapenda hela. Hata tupende kiasi gani kwenye hela mapenzi yananoga zaidi. Nakushauri mpe mwambie hata bby nimekutumia hela ya saloon.
 
Mpatie kwa nafasi yako ona aibu atakutoa kuwa hufikiri kuwa anamahitaji mpaka akuambie atadhani huwa hujiongezi baadaye itakuwa shida jiongeze mkuu
Ofcoz ngoja nijiongeze kiaina mkuu..
 
Haa ha...!! Daah yanii nakapenda sana ndo maana...
hahahah...kuna wengine hawawezi kutoa hela kwa yeyote hata mpenzi pasipo kuombwa. ukitaka omba ukikaa kimya imekula kwako!
 
Jiongeze ila usimpe tuu bila kuonyesha sababu ya kufanya hivyo, unaweza kumwambia chukua hii kabadilishe nywele, ama nimeona duka flan nguo nzur kanunue...usimpe pesa tuu bila sababu atazoea vibaya
 
Nasikia: Kama umeoa ukaamua kumsaidia mkeo siku moja kupika kwa mapenzi tu, huo ndio mwanzo wa kuanza kuambiwa na leo pika mbona siku ile ulipika.

Akili zao wanazijua wenyewe!
 
Unawez kutoa hela yako ktk indirect way km kumfanyia surprise or other wise not only handling maoney can make her aone uwepo wako
 
aisee nilishawahi kumsaidia mtu na hakuniomba nimsaidie mi nilimuona tu yule mdada anahitaji msaada nikainuka nilipokaa na kwenda kumsaidia kuvusha kitoroli kwenye kidaraja kidogo mi nikisuma yeye akivuta toroli kwa nyuma...!!dah mi nikatumia nguvu kubwa kumbe yeye mikono yake kailegeza!!
lahaula!!toroli hiloo kwenye mtaro maandazi yooote mwaaaa kwenye maji machafu!!kama unavyojua wenzetu hawana subra akaanza kuniporomoshea maneno "oooohh mi sijakuomba unisaidie ona sasa maneno mengiii..!!" watu wakajaa nikaona hili zogo yaan yule Dada alibadirika ghafla yaani anaongea mfululizo hanipi hata nafasi ya kuongea basi nikaamua kupiga hesabu za yale maandazi kimyakimya aaaaahhhh kumbe hayakuzidi hata 25000 nikatoa 27000 nikampa..!!ndo watu wakamtuliza yule demu!!
Basi kuanzia hapo huwa simsaidii mtu yeyote yule kama hakuniomba nimsaidie(bi-mkubwa wangu excluded)!!hata mashemeji zenu huwa wananichukulia mtu mmoja mbahili sana yan!!kumbe ni mambo tu ya dunia!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom