Recent content by chasowa

  1. C

    Weekend story: Bad wives

    Ha ha haaaaa story tamu... Kweli au
  2. C

    Huyu mwanamke kaniudhi sana leo

    Sijui inasaidia nini kulalamika huku bila kumwambia mlengwa halafu unasema kina dada badala umwambie mhusika
  3. C

    Binadamu wapya wagundulika sayari ya Jupiter

    Duuu nimecheka sana uwii
  4. C

    Ukubali ukatae walokole tuna raha na tuko salama zaidi

    Nimekubali ila uponyaji wa roho ni muhimu sana
  5. C

    Natafuta line ya Tigopesa, Airtel money

    Ninayo ya Airtel Money km unahitaji tupia number yako
  6. C

    Nimeipenda sana Sumbawanga

    Achana naye huyo
  7. C

    Mada maalum kwa wapenzi wa Tamthilia ya Isidingo

    Katlego anjipenda hadi raha
  8. C

    Vifaa vinauzwa bei chee

    Waterdispensa ni mpya au used
  9. C

    Aibu, fedhea ya DART, Jiji, Manispa Dar

    Jamani leo nimepanda ukitoa buku wanasema hawana chenji kuweni makini wanakusanya pesa nyingi tena wanasema km hutaki basi nenda..leo nimeacha 350 pale nauli posta hadi ubungo 650
  10. C

    Line Tigopesa, M-Pesa for sale

    Unapatikana maeneo gani
  11. C

    Natafuta rafiki wa kushauriana ktk masuala ya kimaendeleo

    Habari zenu ndugu zangu..nahitaji mtu wa kushauriana ktk masuala ya kutafuta maendeleo iwe biashara ..kilimo au utoaji huduma halali ambayo itatuingizia kipato..mm niko kny age of 40s..ni mtumishi ktk sector binafsi lkn napenda kufanya miradi mbalimbali ya kimaendeleo..kuna kipindi nilifanya...
  12. C

    Female Friend 50yrs

    Mm nina 40s vipi inafaa
Back
Top Bottom