Jamani leo nimepanda ukitoa buku wanasema hawana chenji kuweni makini wanakusanya pesa nyingi tena wanasema km hutaki basi nenda..leo nimeacha 350 pale nauli posta hadi ubungo 650
Habari zenu ndugu zangu..nahitaji mtu wa kushauriana ktk masuala ya kutafuta maendeleo iwe biashara ..kilimo au utoaji huduma halali ambayo itatuingizia kipato..mm niko kny age of 40s..ni mtumishi ktk sector binafsi lkn napenda kufanya miradi mbalimbali ya kimaendeleo..kuna kipindi nilifanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.