Wapo lakini pia inategemea unahitaji kiasi gani.nijibu mkuu.
Uko sawa kwa hilo mkuu, Mimi typhoid nimeshuhudia ikiwasumbua sana raia wengi mkoa huuTatizo huko kuko infested sana na typhoid & uti,'
Mgawanyo wa kazi usikufanye kuwa na dharau, kama yeye mwalimu wa nursary wewe inakuhusu nini? Kwa taarifa yako hata wenye elimu na kazi nzuri wapo hapa na huo uchawi unaoongelea ni mawazo ya kizamani, inamaana wewe bado una fikra za miaka ya 70, OK Mimi Nina masters nafanya kazi hapa Sumbawanga, wewe una elimu gani na unafanya kazi wapi kusikowachawi? Don't be ignorant!
kiasi kidogo kwaajili ya kububuna. kilo 2-3 kwa mwezi. wanauzaje huko? unaweza nisaidia mawasiliano ya wauzaji?Wapo lakini pia inategemea unahitaji kiasi gani.
Kuku wa kienyeji wapo wakutosha Nifah ukifika huku hauta ondoka naamini ivoSanaaaaa hasa wa maji baridi,hawa wa maji chumvi nakula ni vile sina jinsi.
Na kuku wa kienyeji wapo kwa wingi eeeh?![]()
![]()
![]()
Je mambo ya kutumiana radi yameisha siku hizi?Tofauti na mikoa mingine huku maisha ni nafuu sana
Pia kuna fursa za aina tofauti hasa kilimo uvuvi na mifugo
Gharama za ujenzi ni nafuu.
Na hali ya hewa ni nzuri kupindukia
Nafikiri kustaafia Sumbawanga
Kuanzia Laela,Mpui,Tamasenga mpaka Luiche kila kitu ni kinono hasa kwa sisi tupendao chicha la asili.
Karibu mjionee hakuna taabu ya foleni,maji kelele wala uchafuzi wa mazingira.
Halafu tunapakana na nchi mbili Congo na Zambia
Kama kichwa yako haina mchanga mchanga na inawaza mema hii ndio sehemu ya kukimbilia.
Haiwezekani atoke binti Kenya anunue ardhi na kuwekeza na wewe umekaa hapo Dar unawaza mambo ya Dushe na papuchi.
Anatumia hati ya Ardhi yake kukopa ma bilioni
kijana amka hapo.
![]()
Hakuna foleni
njoo huku.
![]()
Ukichelewa shauri zako.
![]()
Plot utapata kwa sh laki tatu..
Sasa unafanya nini huko mjini?
Majuto ni mjukuuu
Mimi nipo sokolokisiwani mitaa ipi aiseee maana nipo joni kela hapa hahahahaha i'm jokn ndg
KantalambaMajumbasita, kantalamba nk
Yuwiiiiiiiiii panapo majaaliwa naweza kuja mwishoni mwa July au mwanzoni mwa August.Kuku wa kienyeji wapo wakutosha Nifah ukifika huku hauta ondoka naamini ivo
Karibu saana aisee wenyeji wako tupo tutakupokea usiwe na HofuYuwiiiiiiiiii panapo majaaliwa naweza kuja mwishoni mwa July au mwanzoni mwa August.
Thanks
I'll let you know.Karibu saana aisee wenyeji wako tupo tutakupokea usiwe na Hofu
Owky u'r welcomeI'll let you know.
Asante sana.
Mpui ni kijijini mno ..kama vp ashukie Laela bhana...laela ni mjini kuliko hata sumbawanga mjiniShuka mpui Nifah

Ndugu yangu habari yako nimeipenda sana tafadhali ni PM tuwasiliane vizuriTofauti na mikoa mingine huku maisha ni nafuu sana
Pia kuna fursa za aina tofauti hasa kilimo uvuvi na mifugo
Gharama za ujenzi ni nafuu.
Na hali ya hewa ni nzuri kupindukia
Nafikiri kustaafia Sumbawanga
Kuanzia Laela,Mpui,Tamasenga mpaka Luiche kila kitu ni kinono hasa kwa sisi tupendao chicha la asili.
Karibu mjionee hakuna taabu ya foleni,maji kelele wala uchafuzi wa mazingira.
Halafu tunapakana na nchi mbili Congo na Zambia
Kama kichwa yako haina mchanga mchanga na inawaza mema hii ndio sehemu ya kukimbilia.
Haiwezekani atoke binti Kenya anunue ardhi na kuwekeza na wewe umekaa hapo Dar unawaza mambo ya Dushe na papuchi.
Anatumia hati ya Ardhi yake kukopa ma bilioni
kijana amka hapo.
![]()
Hakuna foleni
njoo huku.
![]()
Ukichelewa shauri zako.
![]()
Plot utapata kwa sh laki tatu..
Sasa unafanya nini huko mjini?
Majuto ni mjukuuu
Hapana mkuu mzindakaya anaishi sumbawanga hajahama eneo analo ishi linaitwa majengo kilimani