acha kujudge Kitabu kwa kuangalia kava lake...Dont generalize people mi mwenyewe bonge lkn mambo yangu yako fresh...i can think and Reason well...my wife can enjoy well.
Huyu mtoa mada ana fikra za kishetani....nafkiri atakuwa mmojawapo wa wale waliotafsir neno TOYOTA....et to....yote Tz wakasahau kuwa n compun ya kutengeneza magar huko abroad...mada nyingine b4 yu present to Jf Think First...Dont Judge every thing in a negative way.
Nakupa pole sana Dada lakini kaa ukijua lolote gumu linalomkabili mwanadamu jibu lipo cha msingi usikate tamaa...ebu jiulize ungeenda kwa Doctor kucheki afya majibu yakaja umeathirika kipi bora kuwa mzima alafu uko single au ni mwathirika alafu upo na mwenzako kwenye ndoa...jipe moyo ktk Bwana...
JAMANI NAOMBENI USHAURI...mimi nilimaliza form six tangu mwaka 2010 nilipata Division three ya point 14 na baada ya hapo sikuomba chuo badala yake nilienda nje kusomea koz fulan ambayo hata hivyo sikuimaliza...sasa hivi nina hamu ya kwenda ualimu wa secondary ...je itawezekana kupata Nafasi ya...
Huu ulikuwa ni mpango tu wa watu ambao wako against ATC becoz ktk hali ya kawaida hiyo haipo kwa mtu au watu ambao wanajua kabisa kuwa hawajabeba magunia ya ulezi mle ndan...hapo hata shetan alitikisa kichwa kwa huu uzembe...jaman Atc Tuwe serious ktk kuzibeba Roho za wa TZ angani.
Duh...huyo jamaa amesahau kuwa too much is harmful...na akumbuke kuwa yeye ni mwanadamu na siyo jogoo...ndege ni wako unamshikia manati wa nini...kiasi tu kama vile glass ya wine sebuleni...taratiiibu...fujo za nini unataka kumaliza bufee yote wakati sherehe ni yako.
Jamani huyu komba neno kama hilo kalipata wapi? amekosa maneno mengine ya kutumia? atuache na amani yetu watanzania hatutaki shari...serikali tatu hakuna anaeitaka hata kwa Dawa na hii ni kutokana na madhara yatakayotokea kwa taifa letu baada ya kukubali huu uchafu....serikali tatu haikubaliki
Haya maneno mnayozungumza dhid ya chadema n ya kwenye kanga cdm n nan tangu uhuru cha maana hakuna .. cha msingi chadema washike hatam 2015 chin ya jemedar Dr. Slaa. halafu mambo yakianza kuwa mazur wewe na cdm yako lazima utafute pakujificha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.