Matusi katika picha ya tangazo la Wema / Airtel

Matusi katika picha ya tangazo la Wema / Airtel

Lkn inabaki pale kwamba hilo neno ni tusi, na watengenezaji sio kweli hawalijui hilo
Massai nakubaliana na wewe,hili neno ni Tusi na tatizo nikwamba walioponda hapo juu walifikiria kwamba maana yake hujui mpaka wengine eti kujifanya kuanisha sijui What`sup Facebook na Twitter.Wakati hilo linafahamika na kila mtu hadi watoto.

Hapo ndio huwa tunalalamika wakenya kuja kuchukua ajira zetu kwa uzembe huu.


Kwa wale ambao ni kizazi cha kabla ya facebook wakati wa chatting rooms za kimarekani haya mamaneo hutumika sana,na wengi walikuwa wakitumia kwa ufupi huo pale ukiwazingua.
Sasa mie naelewa watu wa Marketing hii ni taaluma yao,na ni miongoni mwa vitu wanatakiwa kuvikwepa sana,mie nina kiji Certificate cha mambo hayo.Labda hao wenye ma Degree ndio waliona haina shida.
Ila hilo neno ni tatizo,labda wakaweke matangazo hayo vijijini,ila mjini kwa wale ambao walikuwa wakichat kwenye sites za nje miaka kumi iliyopita basi wanajua nini maana ya ufupisho huo.Maana siku hizi watu wamezama kwenye Mitandao hiyo ya kawaida inayojulikana.
We usihadaike na nembo zile za ufupisho wa maneno,pale mtu anaweza hata kuchora gari na ikawa na mueleweko mwingine.
Kwanini asiyageuze maneno mfano(TWF),hapo tatizo ni abreviations zake ndio zimepelekea kuwa tusi.
Natoa angalizo,kwa wale ambao wamechat zamani miaka kumi iliyopita basi wanajua maana yake ila hawa ambao miaka kumi ya facebook wameingia basi wao wanaona sawa tu.

Jamaa wabadilishe tangazo lao,yaani hadi kichefuchefu kulitizama,na mbaya zaidi ukizingati dole gumba la mwisho wa heru ndio kabisaaaa.
Na Model mwenyewe na hivi ni mkaa uchi kwnye kipindi chake maziwa nje,ndio inapoteza kila kitu.
In Gneral tangazo linakera hata kutizama.
Halafu unaweza kukuta Board kubwa likawekwa Airport,duhh,kazi kweli.Nchi ya vituko hii.

 
Huyu mtoa mada ana fikra za kishetani....nafkiri atakuwa mmojawapo wa wale waliotafsir neno TOYOTA....et to....yote Tz wakasahau kuwa n compun ya kutengeneza magar huko abroad...mada nyingine b4 yu present to Jf Think First...Dont Judge every thing in a negative way.
 
Massai nakubaliana na wewe,hili neno ni Tusi na tatizo nikwamba walioponda hapo juu walifikiria kwamba maana yake hujui mpaka wengine eti kujifanya kuanisha sijui What`sup Facebook na Twitter.Wakati hilo linafahamika na kila mtu hadi watoto.

Hapo ndio huwa tunalalamika wakenya kuja kuchukua ajira zetu kwa uzembe huu.


Kwa wale ambao ni kizazi cha kabla ya facebook wakati wa chatting rooms za kimarekani haya mamaneo hutumika sana,na wengi walikuwa wakitumia kwa ufupi huo pale ukiwazingua.
Sasa mie naelewa watu wa Marketing hii ni taaluma yao,na ni miongoni mwa vitu wanatakiwa kuvikwepa sana,mie nina kiji Certificate cha mambo hayo.Labda hao wenye ma Degree ndio waliona haina shida.
Ila hilo neno ni tatizo,labda wakaweke matangazo hayo vijijini,ila mjini kwa wale ambao walikuwa wakichat kwenye sites za nje miaka kumi iliyopita basi wanajua nini maana ya ufupisho huo.Maana siku hizi watu wamezama kwenye Mitandao hiyo ya kawaida inayojulikana.
We usihadaike na nembo zile za ufupisho wa maneno,pale mtu anaweza hata kuchora gari na ikawa na mueleweko mwingine.
Kwanini asiyageuze maneno mfano(TWF),hapo tatizo ni abreviations zake ndio zimepelekea kuwa tusi.
Natoa angalizo,kwa wale ambao wamechat zamani miaka kumi iliyopita basi wanajua maana yake ila hawa ambao miaka kumi ya facebook wameingia basi wao wanaona sawa tu.

Jamaa wabadilishe tangazo lao,yaani hadi kichefuchefu kulitizama,na mbaya zaidi ukizingati dole gumba la mwisho wa heru ndio kabisaaaa.
Na Model mwenyewe na hivi ni mkaa uchi kwnye kipindi chake maziwa nje,ndio inapoteza kila kitu.
In Gneral tangazo linakera hata kutizama.
Halafu unaweza kukuta Board kubwa likawekwa Airport,duhh,kazi kweli.Nchi ya vituko hii.


At least kuna watu wanafikiria na sio kukurupuka tuu na wasichokijua, thanx kuona hilo
 
Sijui kama ni mie mwenyewe ninaefikiria hivi lkn herufi zilizopo ktk hiyo picha yaani "WTF" ni initials wanazotumia watu ktk chat rooms na zinasimama badala ya neno " what the f**k"
Sasa kwa waliotengeneza hilo tangazo ama wamefanya makusudi au ni mabumbuwazi.
So kama watu wa Airtel mpo humu ndani please sahihisheni hilo kosa asap kwani haileti picha nzuri kwa kampuni.

http://1.bp.blogspot.com/-Obkx11P9cdI/U196iCQMgAI/AAAAAAAAYWs/ws1u-LxutXM/s1600/AIRTEL+BURE.jpg

WTF-Wema Tupe Furaha
 
Hili ndio tatizo la vijana wa bavicha...kila saa mnawaza matusi na ujinga tu.
 
kwa hapo kwenye tangazo lao wamemaanisha kifupi cha WhatsApp, Facebook na Tweeter,.

Sijui kama kuna kingine zaidi otherwise you think Negatively!!!
 
Kuna post moja jamaa amesema Tanzania ni ya 9 Duniani kutoka mwisho kwa watu wenye uwezo mdogo sana wa IQ.
Hapa naanza kukubali sasa
 
Kuna post moja jamaa amesema Tanzania ni ya 9 Duniani kutoka mwisho kwa watu wenye uwezo mdogo sana wa IQ.
Hapa naanza kukubali sasa

Siyo hivyo tuu, wachangiaji wengi humu ni school kids so ni vigumu kukuelewa
 
Tusi ni nini fuatilia kwani maana ya kitu hutegemea mtu anayetamka.
 
Hawa jamaa wanajua kabisa watu wanaotumia Whatsaapp, Twitter, na Facebook wanafahamu maana ya kifupisho WTF hivyo wamefanya hivyo makusudi ili iwe eye catching kwa watu wa kundi hilo.., we unafikiri kwanini wasiandike FTW.., au TFW.., ni uhuni wa kimbwa kabisa..!!
 
Hapo Wema hata hajalitendea haki hilo tangazo kwakweli. Bora mpambaji angejitathimini vzur

Kwa msaada tu kwa mleta mada, elewa kwmb maana ya maana ni tata itategemea unaizungumzia ktk mazingira gani. Maana ya neno inaweza kupatikana kwa namna mbili. Maana ya msingi na maana ya ziada. Maana ya ziada inapatikana kutokana na mazingira ya matumizi ya neno. Kwahiyo WTF inaweza ikawa na maana zaid ya hiyo uliwaza kichwani kwako la muhimu ni imetumika mazingira gani.

Kwahiyo kwenye tangazo maana waliyo maanisha ndo hiyo. Wewe km una maana ya kwako ni wewe kutokana na mazingira yako kwahiyo usilazimishe.
 
Back
Top Bottom