Recent content by Charles_nicholaus

  1. Charles_nicholaus

    Marekani yaipa saa 48 iran kufungua mlango wa hormuz lasivyo itaiangamiza

    Onyo hilo limetolewa na rais wa marekan trump iwapo iran haitofungua mlango huo muhimu kwa biashara ya mafuta duniani itaanza kuangamiza mitambo ya umeme iran.
  2. Charles_nicholaus

    Marekani yaipa saa 48 iran kufungua mlango wa hormuz lasivyo itaiangamiza

    Rais wa Marekani Donald Trump amesema kuwa Marekani “itaiangamiza kabisa” mitambo ya umeme ya Iran ikiwa haitafungua Mlango wa Hormuz ndani ya muda wa saa 48 uliowekwa. Rais wa Marekani, Donald Trump, aliipa Iran muda wa saa 48 siku ya Jumamosi kufungua tena Mlango wa Hormuz, akionya kwamba...
  3. Charles_nicholaus

    Ahmed Ally: Sowah tulimuondoa kambini Dodoma, tukamrejesha Dar

    hata akiikosa derby, hana mchango wowote kwenye club.
  4. Charles_nicholaus

    Kama sio pesa ungeendelea kufanya kazi unayofanya sasa?

    Habari jf-members kama si pesa, je unaweza kuendelea kufanya kazi unayofanya sasa? Kuwa mkweli
  5. Charles_nicholaus

    Tukutane kwenye discussion!

    Habari JF-members! Ni dharau gani walikuonesha watesi wako ikakupa moyo wa kupambana zaidi?
  6. Charles_nicholaus

    Naomba msaada wenu hapa, asome kombi gani?

    kikubwa achaguliwe A-level hapo kwenye phyz atapiga hata tuit
  7. Charles_nicholaus

    Naomba msaada wenu hapa, asome kombi gani?

    Habari za leo jf-members kuna mdogo wangu amehitim form 4 mwaka jana anataka akasome A-level PCM Kwa matokeo haya physics-D chemia-B mathe-B division i-17 IVI INAWEZEKANA INGALI KUWA PHYSICS AMEPATA D?. Naomben ufafanuzi.
  8. Charles_nicholaus

    Duuh!, ila wivu!

    Anahudumiwa sister.
  9. Charles_nicholaus

    Wahenga wahenga wahenga......!

    Habari jf-members Bahari ingekuwa supu je, chapati ngapi zingezama? Hapo wahenga walimaanisha nini?
  10. Charles_nicholaus

    Kemebos Sec.School aliyefeli sana ana Division One ya 7

    kemebos ni ya government au private?
  11. Charles_nicholaus

    Uzi wa wakubwa tu: tujadili kwa pamoja

    hahah!, kwani binti wa zamani amepotelea wapi?
  12. Charles_nicholaus

    Duuh!, ila wivu!

    hujui, we si matured kabisa?
Back
Top Bottom