Jokaa? He unajua unachokisema? huyu ni Rais wa nchi siyo mbunge au mkuu wa mkoa sawa? Ndiye aliepewa mamlaka na katiba siyo maneno mbona kwa huyu mama maneno yamewatoka sana alipaswa akuteueni??? Hamna sifaa.
Hajateuliwa na Mwenyekiti wa chadema ataifuataje na je IPO? Siilikuwa website ilishatoka? Kama ipo naomba maana Mimi nilishinwa kufanya maamuzi baada ya kukosa huo muongozo.
Jamani kwani ilani iliyopewa mamlaka na wananchi ni ipi?mnakumbuka ya chama Fulani tena chama kikubwa tuu uliambiwa utaikuta website? Haijulikani sasa hata Kama wewe ndiwe unaependekeza utampendekeza yupi Kati ya hawa mmoja hujui hata ukimteua atafanya nini mwingine alikupa malengo bila shaka...
Mnaotegemea zaidi tegemezi ndo mtababaika mie naomba wasibadili mawazo warudi kuitoa wewe ulikuwa kwa babayako miaka mingapi na sasa uko wapi? Ni sawa tuu tofauti ni rangi shtukeni wenzetu wa upandewapili tulieni dawa iingie.
Jamani ukweli unabakia kuwa hivyo ustarabu ni kupinga kwa hoja kwa kuzimgatia historia Kama mtoa hoja alivyo toa ya kwake swala la muda gani ndani ya JF siyo sababu nawasilisha.
Mnadhani tunasahau mapema kiasi hicho?tabia ya muongo husahau miaka 10 alikuwa fisadi tena wakutupwa ila baada ya kukatwa akawa Lulu isiyoisha thamani hivii kweli unajitambua?
Jamani kilakitu kinafuata utaratibu huyo Maalim Seifu aliyechaguliwa na wananchi alitangazwa na nani kuwa mshindi?mbona wskati mwingine ipaswa awe jela kwakujitangaza hapa mroho wa madaraka ni seifu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.