CCM wanamhujumu Lowassa

CCM wanamhujumu Lowassa

umaarufu huo labda kule monduli, huku watu walishasahau hata uwaziri mkuu wa lowasa
Ndio maana kila siku nawaitaga nyinyi ni viwavi, unapiga kelele na kushangilia kwa jambo ambalo linakuumiza moja kwa moja,wewe mtoto wako anasoma st kayumba lkn kwa upopoma wako unashangilia tu kama zuzu tu
 
Lowassa ni madini ktk hii nchi kwa bahati mbaya tumeshindwa kumtumia, lkn atakumbukwa vizazi Na vizazi mtumishi huyu
Unaongea ukweli mtupu mkuu,kumbuka kuwa usemi wa penye miti hakuna wajenzi
 
Ndio maana kila siku nawaitaga nyinyi ni viwavi, unapiga kelele na kushangilia kwa jambo ambalo linakuumiza moja kwa moja,wewe mtoto wako anasoma st kayumba lkn kwa upopoma wako unashangilia tu kama zuzu tu
hiyo haiepukiki bro, sio wote watakaosoma Harvard hata kama wanapenda
 
Mkuu poa wacha hawa wala viwavi waisome namba kwa kuanza kutumia sukari guru maana ndio walikuwa wanapiga vigeregere juu ya issue ya sukari
Hivi ng'ombe mnachungia wapi? Mzeri au Monduli?
 
Mnadhani tunasahau mapema kiasi hicho?tabia ya muongo husahau miaka 10 alikuwa fisadi tena wakutupwa ila baada ya kukatwa akawa Lulu isiyoisha thamani hivii kweli unajitambua?
 
Kwamba eti yeye ndio mwasisi na alikuwa na mpango baada ya shule za kata aje na zahanati za kata ni uongo usio na maana yoyote! Rejea suala zima la Highly Indebted Poorest Countries (HIPC) pamoja na MKUKUTA ndiko utafahamu chanzo cha shule za kata na zahanani zake! Kwa kifupi tu, mashirika ya fedha duniani yalianzisha program ya kusamehe baadhi ya madeni kwa nchi maskini zaidi duniani. Mabwana mkuwa hao waliweka criteria zao na Tanzania ikawa ni moja mataifa ambayo yangenufaika kwenye program,

Ambacho waheshimiwa wenye pesa zao waliamua ni kwamba nchi zitakazonufaika, baadhi ya madeni wanayodaiwa, kiasi walipe na kiasi badala ya kulipa wawekeze kwenye sekta za kijamii hususani kwenye elimu na afya! Ni sawa na wewe mtu akudai 1 million halafu akuambie ktk 1 Million, nilipe laki 5 na laki 5 itumie kwenye X!

Kutokana na hiyo program, ndo maana serikali ya Mkapa ilijikita zaidi kwenye ulipaji wa madeni ili kiasi serikali isamehewe na kuingizwa kwenye huduma za kijamii! Katika kufanikisha hilo, ndipo ikaanzishwa program ya MKUKUTA. Na wakati mpango huo unaanzishwa Lowassa hakuwa Waziri Mkuu wala Waziri wa Elimu.
 
Hivi ukiuli zwa upapa wa ufisadi wa lowassa uko wapi utasema nini, kawaambia mthibitishe mmeshindwa, hivi nyinyi ni jamii ya viumbe gani?
swali hili kamanda ingekuwa busara kwanza ungewauliza Lissu Tundu ,Dr Slaa, team Mbowe yote bila kusahau Kubenea. hawa wazee walijigamba wana ushahidi wote kuwa Lowasa ni fisadi. rejea magazeti ya Kubenea, magazeti ya kiuchunguzi wa ukweli kama alivyojitapakaga. list of shame ikiandaliwa na nani kwani? ? na tueleze kwa nini iliondolewa kwwnye mtandao wa chadema yetu. msituchanganye makamanda tusije tukatoa matusi hapa
 
Back
Top Bottom