charles julius
Member
- Nov 28, 2015
- 28
- 3
Wakulaumiwa ni huyo rais wako uliyetaka awe rais bila kuchaguliwa na wananchi kama kaonewa kwanini asiende znzr?
Thread yako imekaa kiwivuwivu sana. Inaonekana umetoka shule juz na kimastaz chako sasa unataka ukuu wa Idara kisa mkuu wako wa idara hana mastaz. Kuwa na hekima ww, waheshimu uliowakuta kazini itakusaidia sana. Experience ni mwalimu mzuri kuliko elimu ya darasani. Mm nipo wizarani only 5% ya elimu yangu ndio naitumia. 95% ni experience niliyoipata kwa wale niliowakuta na ndio ina apply karibu kwenye kila kazi nayoifanya. Pia nimegundua pia watu hawasomi kupata elimu bali wanasoma ili wapate vyeo au kupanda madaraja ya mshahara! Naionea huruma sana Tanzania! Tuna watumishi wenye mastaz chungu nzima lakini output yao ni ndogo kuliko hata mtu mwenye certificate. Kwakweli nikipewa fursa nitachagua wachapa kazi sio watu wenye mastaz za kukariri definition.Naomba JPM awe makini na jinsi atakavyoshughulikia tatizo la watumishi hewa kwenye halmashauri zetu. Ninavyojua tafsiri ya watumishi hewa ni:
1. Watumishi waliofariki, kuacha kazi au kufariki lakini wakiendelea kulipwa mishahara
2. Watumishi ambao hawapo, yaani ni majina tu yanalipwa mishahara ikiwz watu halisi hawapo
3. Watumishi ambao wameondoka kwenda masomoni huku kjkiwa hakuna barua au nyaraka za kuwaruhusu kufanya hivyo
4. Watumishi ambao wamejipandisha madaraja na mishahara kwa udanganyifu
5. Watumishi wanaoshika nafasi za ukuu wa Idara huku wakiwa hawana sifa na wenye sifa wapo
KINACHOTOKEA HIVI SASA
Baada ya agizo la mh Rais, hivi sasa wakurugenzi na wakuu wa idara wako bize kutengeneza nyaraka feki ili kuhalalisha uchafu wao. Wanaandaa nyaraka kuonyesha walioondoka kwenda masomoni kinyume na taratibu kuwa walifuata taratibu.
Aidha, wanajenga mazingira kuonyesha kuwa waliopewa ukuu wa idara wakiwa hawana sifa walistahili kwa kuwa wenye sifa hawakuwepo. Hili ni kutaka kujiokoa na kutumbuliwa.
Nashauri mh. Rais kupitia wawakilishi wake na wanausalama waombe CV za watumishi wote ili kubaini uongo huu na wanaostahili na walio na sifa wapewe nafasi.
Upo sahihi sana. Madaraja yafuate performance siyo idadi ya vyeti au miaka uliyokaa darasani.Thread yako imekaa kiwivuwivu sana. Inaonekana umetoka shule juz na kimastaz chako sasa unataka ukuu wa Idara kisa mkuu wako wa idara hana mastaz. Kuwa na hekima ww, waheshimu uliowakuta kazini itakusaidia sana. Experience ni mwalimu mzuri kuliko elimu ya darasani. Mm nipo wizarani only 5% ya elimu yangu ndio naitumia. 95% ni experience niliyoipata kwa wale niliowakuta na ndio ina apply karibu kwenye kila kazi nayoifanya. Pia nimegundua pia watu hawasomi kupata elimu bali wanasoma ili wapate vyeo au kupanda madaraja ya mshahara! Naionea huruma sana Tanzania! Tuna watumishi wenye mastaz chungu nzima lakini output yao ni ndogo kuliko hata mtu mwenye certificate. Kwakweli nikipewa fursa nitachagua wachapa kazi sio watu wenye mastaz za kukariri definition.
waliopo masomoni na wenye ruhusa toka kwa mkurugenzi hawahusiki na kashfa ya utumishi hewa!Vipi wale waliokwenda masomoni wakiwa na ruhusa
Nenda kasome master wewe acha visingizio havisaidii.Thread yako imekaa kiwivuwivu sana. Inaonekana umetoka shule juz na kimastaz chako sasa unataka ukuu wa Idara kisa mkuu wako wa idara hana mastaz. Kuwa na hekima ww, waheshimu uliowakuta kazini itakusaidia sana. Experience ni mwalimu mzuri kuliko elimu ya darasani. Mm nipo wizarani only 5% ya elimu yangu ndio naitumia. 95% ni experience niliyoipata kwa wale niliowakuta na ndio ina apply karibu kwenye kila kazi nayoifanya. Pia nimegundua pia watu hawasomi kupata elimu bali wanasoma ili wapate vyeo au kupanda madaraja ya mshahara! Naionea huruma sana Tanzania! Tuna watumishi wenye mastaz chungu nzima lakini output yao ni ndogo kuliko hata mtu mwenye certificate. Kwakweli nikipewa fursa nitachagua wachapa kazi sio watu wenye mastaz za kukariri definition.
Hivii Magufuli ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Zanzibar mbona aliongelea mapema hatoingilia?
Hivii Magufuli ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Zanzibar mbona aliongelea mapema hatoingilia?
Hivii Magufuli ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Zanzibar mbona aliongelea mapema hatoingilia?
Magufuli jembe bana acheni siasa.Hivii Magufuli ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Zanzibar mbona aliongelea mapema hatoingilia?