Watumishi hewa kwenye Halmashauri

Watumishi hewa kwenye Halmashauri

Wakulaumiwa ni huyo rais wako uliyetaka awe rais bila kuchaguliwa na wananchi kama kaonewa kwanini asiende znzr?
 
Naomba JPM awe makini na jinsi atakavyoshughulikia tatizo la watumishi hewa kwenye halmashauri zetu. Ninavyojua tafsiri ya watumishi hewa ni:
1. Watumishi waliofariki, kuacha kazi au kufariki lakini wakiendelea kulipwa mishahara
2. Watumishi ambao hawapo, yaani ni majina tu yanalipwa mishahara ikiwz watu halisi hawapo
3. Watumishi ambao wameondoka kwenda masomoni huku kjkiwa hakuna barua au nyaraka za kuwaruhusu kufanya hivyo
4. Watumishi ambao wamejipandisha madaraja na mishahara kwa udanganyifu
5. Watumishi wanaoshika nafasi za ukuu wa Idara huku wakiwa hawana sifa na wenye sifa wapo

KINACHOTOKEA HIVI SASA
Baada ya agizo la mh Rais, hivi sasa wakurugenzi na wakuu wa idara wako bize kutengeneza nyaraka feki ili kuhalalisha uchafu wao. Wanaandaa nyaraka kuonyesha walioondoka kwenda masomoni kinyume na taratibu kuwa walifuata taratibu.
Aidha, wanajenga mazingira kuonyesha kuwa waliopewa ukuu wa idara wakiwa hawana sifa walistahili kwa kuwa wenye sifa hawakuwepo. Hili ni kutaka kujiokoa na kutumbuliwa.
Nashauri mh. Rais kupitia wawakilishi wake na wanausalama waombe CV za watumishi wote ili kubaini uongo huu na wanaostahili na walio na sifa wapewe nafasi.
Thread yako imekaa kiwivuwivu sana. Inaonekana umetoka shule juz na kimastaz chako sasa unataka ukuu wa Idara kisa mkuu wako wa idara hana mastaz. Kuwa na hekima ww, waheshimu uliowakuta kazini itakusaidia sana. Experience ni mwalimu mzuri kuliko elimu ya darasani. Mm nipo wizarani only 5% ya elimu yangu ndio naitumia. 95% ni experience niliyoipata kwa wale niliowakuta na ndio ina apply karibu kwenye kila kazi nayoifanya. Pia nimegundua pia watu hawasomi kupata elimu bali wanasoma ili wapate vyeo au kupanda madaraja ya mshahara! Naionea huruma sana Tanzania! Tuna watumishi wenye mastaz chungu nzima lakini output yao ni ndogo kuliko hata mtu mwenye certificate. Kwakweli nikipewa fursa nitachagua wachapa kazi sio watu wenye mastaz za kukariri definition.
 
Thread yako imekaa kiwivuwivu sana. Inaonekana umetoka shule juz na kimastaz chako sasa unataka ukuu wa Idara kisa mkuu wako wa idara hana mastaz. Kuwa na hekima ww, waheshimu uliowakuta kazini itakusaidia sana. Experience ni mwalimu mzuri kuliko elimu ya darasani. Mm nipo wizarani only 5% ya elimu yangu ndio naitumia. 95% ni experience niliyoipata kwa wale niliowakuta na ndio ina apply karibu kwenye kila kazi nayoifanya. Pia nimegundua pia watu hawasomi kupata elimu bali wanasoma ili wapate vyeo au kupanda madaraja ya mshahara! Naionea huruma sana Tanzania! Tuna watumishi wenye mastaz chungu nzima lakini output yao ni ndogo kuliko hata mtu mwenye certificate. Kwakweli nikipewa fursa nitachagua wachapa kazi sio watu wenye mastaz za kukariri definition.
Upo sahihi sana. Madaraja yafuate performance siyo idadi ya vyeti au miaka uliyokaa darasani.

Adhaniaye ana elimu kubwa adhihirishe kwa kutoa output kubwa zaidi kuliko anaodhani wana elimu ndogo.
 
Tusigeuke kasuku,tujiulize kwa pamoja kama taifa tumefikaje hapa leo kwa kuwa na watumishi hewa,nani katufikisha hapa na tuchukue hatua gani?
 
Hili swala linashughulikiwa kilofa (kisemo cha JKN),eti anayetoa taarifa ni yuleyule anayepiga dili za watumishi hewa.
Ninavyojua tunao usalama wa taifa ngazi ya wilaya,wanatakiwa wapewe hii kazi maalumu Tena kwa kushtukiza wazungukie idara zote kufumua maovu. Kwamara nyingine hatupo serious...tunapoamua kushughulikia jambo tulishughulikie kikamilifu na strategic sio kisiasasiasa tuu.
 
Thread yako imekaa kiwivuwivu sana. Inaonekana umetoka shule juz na kimastaz chako sasa unataka ukuu wa Idara kisa mkuu wako wa idara hana mastaz. Kuwa na hekima ww, waheshimu uliowakuta kazini itakusaidia sana. Experience ni mwalimu mzuri kuliko elimu ya darasani. Mm nipo wizarani only 5% ya elimu yangu ndio naitumia. 95% ni experience niliyoipata kwa wale niliowakuta na ndio ina apply karibu kwenye kila kazi nayoifanya. Pia nimegundua pia watu hawasomi kupata elimu bali wanasoma ili wapate vyeo au kupanda madaraja ya mshahara! Naionea huruma sana Tanzania! Tuna watumishi wenye mastaz chungu nzima lakini output yao ni ndogo kuliko hata mtu mwenye certificate. Kwakweli nikipewa fursa nitachagua wachapa kazi sio watu wenye mastaz za kukariri definition.
Nenda kasome master wewe acha visingizio havisaidii.
 
Hivii Magufuli ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Zanzibar mbona aliongelea mapema hatoingilia?
Hivii Magufuli ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Zanzibar mbona aliongelea mapema hatoingilia?
Hivii Magufuli ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Zanzibar mbona aliongelea mapema hatoingilia?
Hivii Magufuli ni mwenyekiti wa tume ya uchaguzi ya Zanzibar mbona aliongelea mapema hatoingilia?
Magufuli jembe bana acheni siasa.
 
Back
Top Bottom