Recent content by CHAPO UNIQ

  1. C

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    😂😂😂😂💯
  2. C

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Wewe si shabiki wa Man U imekuaje uvae nembo ya Barca? Au ndiyo umepata pa kujifichia aibu?
  3. C

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Man U kesho nawabetia tafadhali sana Msiniangushe. Nitampa Burnley ashinde. Naomba mfanye kama mlivyofanya kwa fulam na mfanye zaidi
  4. C

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Sema Chelsea we jamaaa😂😂😂
  5. C

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Msimuangushie kocha lawama. Hata huyu Bruno pia ni zaidi ya hasara kwanza leo kawakoseha ushindi. Mechi ya leo ilitakiwa kuleta matumaini kwenu na si vingenevyo
  6. C

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Mpira unaanza upya. Man u apigwe cha pili ili akili yake ikae sawa. This time anashuka daraja
  7. C

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    😂😂😂
  8. C

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Leo tupo hapa mpaka dakika za mwisho kuwasagia kunguni😂😂😂
  9. C

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Tatizo la Bruno ni moja. Amezidisha kiburi na kujiona bora kuliko wenzake. Hii game ya Man united ina presure kubwa kuliko mechi zingine zote. Man u wanatakiwa watulize wenge wasicheze kwa kukamia but hii man u bado sana. Na leo msipokuwa makini mnalala na viatu. Fulham wakipata goli tu basi...
  10. C

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kisa umemfunga dogo aliyepanda Daraja basi unaona umewin maishaaa ee😂😂😂😂
  11. C

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hakika huyu jamaa kawa mtamu kama mcharo. Napenda akicheza na mtu badi Lavia......tumwombee Lavia apone arudi kwenye kiwango chake na hasisumbuliwe na majerah ya mara kwa mara. Amen
  12. C

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Msimu huu tunaweza ona neema kama hatutasongwa na Majerahaa
  13. C

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mkuu wanasema samehe mara 7 mara 70. Potezea inapotokea mtu kukukwanza haya maneno si mazunri kwa watu wanaishi nyumba moja hata kama ni wa mpinzani.
  14. C

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kweli mkuu. Naunga mkono hoja......hii wasione mashabiki wa arsenal wala Man u
  15. C

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    🤣🤣🤣🤣🤣 wale jamaa walipotelea wapi
Back
Top Bottom