Recent content by Chapati 2

  1. C

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Wakuu habarini, samahani nawezaje kujua makato ninayokatwa kwenye mshahara wangu...I mean basic ipoje na makato gani nakatwa.
  2. C

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Nimekupata mkuu Asante sana ... Maana yupo kimya itabidi zikifika tarehe hizo tumuulize.
  3. C

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hongera sana mkuu...wengine tupo ajira mpya lakini salary ya mwezi huu hatujapata wala kujikimu hamna....sijui tutapata au vp No SQL ipoje hii
  4. C

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    tuliopata placement mwezi wa 9 na kureport tareh 9 hivi mshahara tutapata kweli wakuu?
  5. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nilihisi hivi maana Kuna dakika zaidi ya 3 huwa wanakuwa wenyewe baada ya msailiwa kutoka nje. Japo inawezekana huwa wanakusanya point wanajadili baada ya kumaliza huenda.
  6. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    kumbe ndo inavokuwa, sikudhani. Kuna dakika tatu walikuwa wanaweka karatasi nikajua wanapanga marks kabisa.
  7. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Doubleg Malafyale mkuu ulinishauri kupambania kufika oral nashukuru nilifika salama baada ya kuhangaika na kuishia written mara 2. Asante.
  8. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kunasiku humu mlisema nisikae pembeni kisa mlemavu nijitahidi kufika oral, oral nilifika nikapata mkando wangu nashukuru sana, nasubiri matokeo. Swali langu hivi pale wanapoandika point na wakamaliza tunapotoka huwa wanajadili points zetu na kugawa marks mle mle wakuu si ndio?
  9. C

    Msaada kwa alyewahi kufanya usaili tie (tanzania institute of education) editor ii

    Nimeona mitihani 3 written, practical na Oral (hiyo written possibly ni ya karatasi na sio aptitude)
  10. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mkuu Mwifwa hii ni sahihi....usaili wa mchujo huwa ni paper (karatasi badala ya aptitude) ?
  11. C

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hiyo Editor II naona watu ni 625....pia Kuna mitihani mitatu (written , practical na Oral) Je kwa wenye uzoefu hii inamaanisha hiyo written tutafanya ya karatasi?
  12. C

    Oral interview kada ya afya: tupeni feedback

    Ubarikiwe sana sana mkuu.... Mungu akutangulie kwenye safari ya majukumu na maisha kwa ujumla.
  13. C

    Oral interview kada ya afya: tupeni feedback

    Sex body mkuu kwenye maswali yako ni kumention tu hamna kutoa mifano na maelezo au ulitoa mifano na maelezo kidogo??
Back
Top Bottom