- Thread starter
- #41
Hongera sana sana mkuu...MUNGU NI MWEMA NIMEPATA KAZI 🙌
Kwanza kwa kuwa na moyo wa kushare taarifa za msingi
Pili kwa Mungu kukupa kibali kwenye nafasi hii.
Hongera sana sana mkuu...MUNGU NI MWEMA NIMEPATA KAZI 🙌
mkuu tukianza na written vipi ilibase kwenye masomo ya chuo au kwenye majukumu yako au Olevel/A-level?MUNGU NI MWEMA NIMEPATA KAZI 🙌
Hongeraa zanaaMUNGU NI MWEMA NIMEPATA KAZI 🙌
Ubarikiwe sana sana mkuu.... Mungu akutangulie kwenye safari ya majukumu na maisha kwa ujumla.Mimi nilitoa tu maelekezo kwa kujiamini afu sikuacha hata swali moja yote nilijibu neno kwamba hujui usutamke kabsa we jitahidi ujibu
Ration ya 1:3 maana yake nini kwenye kuandaa matokeo..!?Habari.
Usaili ni vita kama vita vingine.
Inategemea we we umeamua kutumia silaha ipi kuingia uwanjani.
Mimi picha linaanza sikujishugulisha na mikoa yenye competition kubwa niliomba maporini.
Usaili wa afya.
Vitu vya kuzingatia ni vyeti hakikisha haumiss Document hata Moja watu wengi walooshia mlangoni.
Written usifanye kwa kigezo cha kupata 50 competition kubwa kada zote wamechuja kwa kuangalia ratio ya 1;3 na matokeo waliyaunganisha Tz nzima.
So usiende kichovu kama ni mwalimu wa bailoji inaamaana matokeo ya bailojia wataunganisha Tanzania nzima kisha wataangalia ratio ya 1 ya 3 hata kama atapata 80 wao watachuja hapo hapo.
Kingine upande oral pitia kila kitu maana maswali wanayotoa hata mtu ukutarajia ulikomalia mambo makubwa tu na kusahau madogo.
Swali La duties wanalitoa Ila kimtego hawaendi direct.
Kingine oral hizi confidence na usifikiri fikirie kwenye chumba cha usailo majamaa yanajali Sana muda inaweza kuambia Time is over kwwma swali La introduced yourself wengi walikatizwa.
So jipange kibinadamu na usiache kumwamini Mungu.
Utafanikiwa.
Una swali.?