Asivunje nyumba,hiyo ni kwa ajili ya watoto wao.aachane nae kwa heri kabisa,akaanze maisha mapya mbele ya safari.kubomoa nyumba ni US*NGE ilhali wana watoto.
Japo sina chombo cha usafiri kwa sasa,lakini hata nikiwa na PA$$O inayofungwa kwa KOMEO km mlango wa nyumba, fresh tu.chamsingi nizungukie mishe zangu zote vizuri.
Wanawake wanapambana sasa,wengi wao wanajitambua na wameelimika,so wana weza kuhustle na wakawin batle.
#NAWAPONGEZA.
japo kuna baadhi yao wanatumia njia haramu km kutoa kinyeo ili kujipatia mali.
hiyo inaitwa miili ya kunuka yenye harufu kali mno,mtu mwenye akili timamu km mm hawezi kudate na aina hiyo ya wanawake coz hawako vizuri kichwani.wanaringia MATAYO ambayo hayana faida yoyite kiuchumi labda kwa wafir*ji tu.
km ww ni muoga wa maisha,huko chuo unafanya nini?ww endelea kuhesabu miaka wakati,wenzako wanahesabu fedha na faida.ili ufanikiwe kuwa na uhuru wa kipato,ni lazima u-take RI$k kijana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.