hiyo inaitwa miili ya kunuka yenye harufu kali mno,mtu mwenye akili timamu km mm hawezi kudate na aina hiyo ya wanawake coz hawako vizuri kichwani.wanaringia MATAYO ambayo hayana faida yoyite kiuchumi labda kwa wafir*ji tu.
km ww ni muoga wa maisha,huko chuo unafanya nini?ww endelea kuhesabu miaka wakati,wenzako wanahesabu fedha na faida.ili ufanikiwe kuwa na uhuru wa kipato,ni lazima u-take RI$k kijana.
Hata kama nitakufa sawa tu,lakini siyo kwa stress zitokanazo na mwanamke.hilo kwangu NEVER,nimekupenda nikagundua kumbe hunipendi!ondoka ktk maisha yangu wasalimie kabisa.sijali kuhusu hilo,sipandi mbegu bora kwenye mwamba.
Hakika wewe ni malkia wa nguvu,kwakua unampenda kwa dhati,muandae kisaikolojia umpeleke kwa tabibu wa kinywa kama nae anakupenda atakubali kwenda kupata tiba.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.