We zungumza hivyo tu kwa sababu hayajawahi kukukuta siku yakikukuta utawachukia hao majizi wqnaovyamoaga magari baada ya ajali na kupora badala ya kuokoa uhai wa watu.
Unaweza kututhibitishia kwamba ni kipindi gani labda tangu uumbwaji wa hii ardhi kuwa watu wake hawakuwa masikini?au na wewe umeamua tu kujilipua ujipungizie stress zako mwenyewe!!otherwise Kama ardhi hii iliyokuja kuitwa Tanzania uwepo wake ulianza pamoja na ccm hapo unaweza kuwa sahihi
Acheni kutumia sababu za kijinga kuhalalisha hoja zenu!!!lile hata lingekuwa Basi la abiria waswahili wangekimbilia kuiba na kuacha kuokoa wahanga,na tabia za wizi hazina masikini Wala tajiri ni hulka ya mtu!!!so hivi viposti vyenu vya hovyo hovyo kujaribu kuhalalisha wizi ili tu mpate uhalali...
Ndio uone binadamu tulivyopoteza utu.yaani kwao Mali ilikuwa Bora kuliko binadamu mwenzao.pole Sana kwa familia ya abiria wa huyo bodaboda aliyeamua kufa akiwasaidia dereva na Mama waliokuwa wamebanwa kwenye gari.serikali ingefanya jitihada atambulike ili japo kuisaidia familia yake...
Wakuu Mimi msimu huu nimeanza kabisa mazoezi ya kujiandaa kisaikolojia kupokea chochote kitakachokuja upande wetu man u,mpango wa kuumia na kukondeana kisa man u kafungwa naupinga kwa nguvu zote msimu maana hata sielewi kinaenda kutokea nini.so tukifungwa sawa tukishinda poa tukitoa drop mukide...
Kwani umeambiwa kuwa Hana wasaidizi?kwa maana nyingine unataka kututhibitishia kuwa hata wageni wote waliowahi kumtembelea hapa tz nao ni washamba kuliko hao atakaoenda kukutana nao huko UN?Kama sio wote washamba aliwezaje kuwasiliana nao na akashindwa kuwasiliana na hao wengine huko UN?
Acheni...
Naweza kumtetea huyo mwanamke au pia kuusema ukweli,kiuhalisia hakuna mwanamke mwenye staha anayependa kuzaa watoto wa baba tofauti tofauti so hata Kama alizaa na jamaa kimakosa au hata Kama hakuwa na hisia nae Hawa viumbe hutanguliza Sana familia so atakaa akisubiri kwa imani kuwa huenda ipo...
Wewe nawe unajiita mjanja daaaah dunia ina mengi Sana!!!kwa hiyo kule UN wanaenda wanaojua kubwabwaja kiingereza wengine ambao wewe unawarefer Kama washamba coz hawakijui hawastahili kwenda sio?yaaani hapo ndipo upeo wako wa kufikiri ulipoishia?na bado unamlalamikia JPM kusababisha umasikini...
Jamaa Hana shukurani yaaani daimond amemsadia Sana Hadi kamruhusu kumkopi lakini Leo anajiona amekua.kuna nyimbo za dogo usipokuwa makini utajua kuwa ni sauti ya diamond kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.