Je, Rais Magufuli atahudhuria kikao cha UN General Assembly cha mwaka huu?

Tatizo lake ni kubwa zaidi ya kutojua lugha. Intellectual inefficiency ndio shida kubwa kabisa. Anajua pia kuwa waandishi atakaokutana nao huko watamuuliza maswali ya kumuabisha (na kukataa kuongea nao itakuwa aibu kubwa zaidi).
Kwani umeambiwa kuwa Hana wasaidizi?kwa maana nyingine unataka kututhibitishia kuwa hata wageni wote waliowahi kumtembelea hapa tz nao ni washamba kuliko hao atakaoenda kukutana nao huko UN?Kama sio wote washamba aliwezaje kuwasiliana nao na akashindwa kuwasiliana na hao wengine huko UN?
Acheni tabia za kudhalilisha utu wa mtu jifunzeni kupambana kwa ushindani wa Sera na mambo ya maendeleo.yaani kipindi hiki ukisikia wapinzani wametoka hadharani kuzungumza jua wanaattack utu na sio Sera!!!
 
Naona kingereza imekuwa agenda ya Makamanda awamu hii Kumbe Washamba sio wasukuma tu Kumbe hata wachagga nao wamo
Umekosea sana kujumuisha makabila, mm mchaga na sikubaliani na huyo nyumbu. Embu basi na ww onyesha utofauti, usiwe kama nyumbu.
 
Ndio kitu mnachokumbuka na kupigania kirudi tena. Zile safari za kila mwezi za Ulaya na Marekani. Kuhudhuria kuanzia mkutano wa kunguni, nzi, mbu na hata viroboto. Mnaweza kutuonyesha kitu gani kikubwa kilifanyika mpaka muanze kutuaminisha kwamba bila kwenda huko kwenye hiyo mikutano tunakosa kitu kikubwa?
Nonsense
 
Kwani umeambiwa kuwa Hana wasaidizi?kwa maana nyingine unataka kututhibitishia kuwa hata wageni wote waliowahi kumtembelea hapa tz nao ni washamba kuliko hao atakaoenda kukutana nao huko UN?Kama sio wote washamba aliwezaje kuwasiliana nao na akashindwa kuwasiliana na hao wengine huko UN?
Acheni tabia za kudhalilisha utu wa mtu jifunzeni kupambana kwa ushindani wa Sera na mambo ya maendeleo.yaani kipindi hiki ukisikia wapinzani wametoka hadharani kuzungumza jua wanaattack utu na sio Sera!!!
Hapa kqtembelewa na kiongozi gani wa maana zaidi ya madikteta yaliyokulia mistuni akina M7, PK, Kabila, yule bishoo wa Morocco, na mswahili mstaarabu Uhuru
 
Hapa kqtembelewa na kiongozi gani wa maana zaidi ya madikteta yaliyokulia mistuni akina M7, PK, Kabila, yule bishoo wa Morocco, na mswahili mstaarabu Uhuru
Kwa hiyo wote hao alikuwa anazungumzia nao kisukuma au?
 
Kijana acha kejeli basi.
Usukuma unaingiaje hapa.
Kumbe tatizo lako si Urais,bali ni chuki ya ukabila.
Jitahidi kujiepusha na kauli za kibaguzi ndugu yangu.
Heshima ni kitu cha bure.
Ohoo! Wewe una msongo wa mawazo ya ukabila, ndiyo maana kila neno unalitazama kikabia
 
Mambo mengine tusilazimishe Sana hata Kim Jong wa Korea haendagi Sana sasa wewe unawashwa na nini kutaka was kwetu aende Kila Mara. Tulizana wao Kama wanatuhitaji Sana watakuja nyumbani Tanzania.

Au unataka kupindua nchi akienda?

Mambo mengine nyamaza tu.
 
Kikao cha UN General assembly kinafanyika tena mwezi wa tisa mwaka huu kama ilivyo ada

Ni mwaka wa nne huu wa utawala wa Rais Magufuli hajawahi kusafiri kutoka nje ya Afrika, tofauti na watangulizi wake, Mheshimiwa Magufuli hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General assembly.
Kikawaida vikao vya General assmebly ni vikao vyenye hadhi ya wakuu wa nchi ambapo mambo mengi huzungumzwa pale lakini ukiacha mbali na hapo huwa ni nafasi nzuri kwa mkuu wa nchi mmoja kupata nafasi ya kuongea na kukubaliana mambo mengi ya maendeleo na wakuu wenzie wa nchi mbalimbali.

Kwa sasa mathalani zao letu la korosho limeyumba, huu ulikuwa ni muda muafaka wa raisi Magufuli kuongea na wakuu wenzie wenye viwanda na masoko ya korosho kuona Tanzania inaweza kunufaika vipi na fursa zilizoko kwao.

Lakini pia nchi yetu inahitaji uwekezaji mbalimbali wa mitaji, hii ni nafasi ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa ambao hufunga safari kipindi hiki ili waweze kukutana na viongozi wa nchi mbalimbali kuzungumza masuala ya uwekezaji.

Pia kwa kuwa nchi yetu ina utalii basi hiyo pia ni fursa nzuri ya kuongea na wadau wa utalii na kuona namna gani tunaweza kuleta watalii wengi zaidi.

Swali langu ni kwamba Miaka minne Mheshimiwa Raisi hajaenda kukutana na Kiongozi yeyote wa Taifa kubwa na wala hajahudhuria kikao chochote cha UN General assembly.

Je safari hii itaenda?
Kiingereza

Ukiukaji wa haki za raia

Mauaji ya wakosoaji wake

Kutekwa na/ama kupotezwa kwa wakosoaji wake

Rushwa

Ubadhirifu wa fedha za miradi ya wafadhili

Hivi vyote vinamfanya Rais wetu asiwe na ujasiri wa kufika New York!
 
Kiingereza

Ukiukaji wa haki za raia

Mauaji ya wakosoaji wake

Kutekwa na/ama kupotezwa kwa wakosoaji wake

Rushwa

Ubadhirifu wa fedha za miradi ya wafadhili

Hivi vyote vinamfanya Rais wetu asiwe na ujasiri wa kufika New York!
Akikanyaga huko anaweza asirudi huyu. Chezea mabeberu!
 
Kikao cha UN General assembly kinafanyika tena mwezi wa tisa mwaka huu kama ilivyo ada

Ni mwaka wa nne huu wa utawala wa Rais Magufuli hajawahi kusafiri kutoka nje ya Afrika, tofauti na watangulizi wake, Mheshimiwa Magufuli hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General assembly.
Kikawaida vikao vya General assmebly ni vikao vyenye hadhi ya wakuu wa nchi ambapo mambo mengi huzungumzwa pale lakini ukiacha mbali na hapo huwa ni nafasi nzuri kwa mkuu wa nchi mmoja kupata nafasi ya kuongea na kukubaliana mambo mengi ya maendeleo na wakuu wenzie wa nchi mbalimbali.

Kwa sasa mathalani zao letu la korosho limeyumba, huu ulikuwa ni muda muafaka wa raisi Magufuli kuongea na wakuu wenzie wenye viwanda na masoko ya korosho kuona Tanzania inaweza kunufaika vipi na fursa zilizoko kwao.

Lakini pia nchi yetu inahitaji uwekezaji mbalimbali wa mitaji, hii ni nafasi ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa ambao hufunga safari kipindi hiki ili waweze kukutana na viongozi wa nchi mbalimbali kuzungumza masuala ya uwekezaji.

Pia kwa kuwa nchi yetu ina utalii basi hiyo pia ni fursa nzuri ya kuongea na wadau wa utalii na kuona namna gani tunaweza kuleta watalii wengi zaidi.

Swali langu ni kwamba Miaka minne Mheshimiwa Raisi hajaenda kukutana na Kiongozi yeyote wa Taifa kubwa na wala hajahudhuria kikao chochote cha UN General assembly.

Je safari hii itaenda?
Atakwenda Makamu wa Rais atatosha kuwakilisha nchi
 
Kikao cha UN General assembly kinafanyika tena mwezi wa tisa mwaka huu kama ilivyo ada

Ni mwaka wa nne huu wa utawala wa Rais Magufuli hajawahi kusafiri kutoka nje ya Afrika, tofauti na watangulizi wake, Mheshimiwa Magufuli hajahudhuria kikao hata kimoja cha UN General assembly.
Kikawaida vikao vya General assmebly ni vikao vyenye hadhi ya wakuu wa nchi ambapo mambo mengi huzungumzwa pale lakini ukiacha mbali na hapo huwa ni nafasi nzuri kwa mkuu wa nchi mmoja kupata nafasi ya kuongea na kukubaliana mambo mengi ya maendeleo na wakuu wenzie wa nchi mbalimbali.

Kwa sasa mathalani zao letu la korosho limeyumba, huu ulikuwa ni muda muafaka wa raisi Magufuli kuongea na wakuu wenzie wenye viwanda na masoko ya korosho kuona Tanzania inaweza kunufaika vipi na fursa zilizoko kwao.

Lakini pia nchi yetu inahitaji uwekezaji mbalimbali wa mitaji, hii ni nafasi ya kukutana na wafanyabiashara wakubwa ambao hufunga safari kipindi hiki ili waweze kukutana na viongozi wa nchi mbalimbali kuzungumza masuala ya uwekezaji.

Pia kwa kuwa nchi yetu ina utalii basi hiyo pia ni fursa nzuri ya kuongea na wadau wa utalii na kuona namna gani tunaweza kuleta watalii wengi zaidi.

Swali langu ni kwamba Miaka minne Mheshimiwa Raisi hajaenda kukutana na Kiongozi yeyote wa Taifa kubwa na wala hajahudhuria kikao chochote cha UN General assembly.

Je safari hii itaenda?
Nadhani una akili kidogo. Hotuba za UN uwandikwa na watalamu hasa Mambo ya njee. Na usomwa na Anayekusudiwa. Dr Anajua kusoma, pia uandaliwa mwezi mzima. Anaweza kukariri vizuri...
 
Kwani kingereza ni akili jamani? Si lugha tu ya mawasiliano, Kuna wachina na wajerumani awajui hichi kingereza chenu. Warabu awakijui. Sisi tutazungumza Kiswahili. CHADEMA mkifanikiwa kushukaa nchi mtakizungumuza na kuuza utamaduni wetu
 
Back
Top Bottom