Dereva wa gari lilopata ajali Morogoro

Dereva wa gari lilopata ajali Morogoro

Yani watu walikuwa wanahangaika kuiba mafuta badala ya kuwasaidia wahanga wa ajali..

Inasikitisha sana
 
Kwa hiyo kuna wajinga wakaacha dereva anakufa wao wakawa wanabeba mafuta

Anyway wamepata wanachostahili kwa hili sina huruma
 
Hiii kituu na mm imenishangaza kweli kweli watanzania nan aliyeturoga...[emoji24][emoji24][emoji24]
Aisee hata kama ni kuiba sawa wangeiba ila wangejali maisha ya wenzao kwanza

Pumbavu sana , Mungu inaonekana alikasirika sana huu ujinga yaani unamwacha mwenzako analia ndani we unaiba hafu kuna watu wanasema tuwateteee pole zangu zinaenda kwa dereva abiria na konda pia wapita njia ambao iliwakuta kwa bahati mbaya na pia watoto ambao hawakujua chochote

Ila hawa wengine eeh Mungu nirehemu walale wanapostahili

God forbid
 
Mbona kasimama au alihojiwa kabla ya ajali?

Halafu ilivyoletwa sheria ya waandishi angalau wawe na degree mkasema mnaonewa [emoji16][emoji16]
labda kisa kinafanana na movies za final destination,
 
Dereva Wa Gari La Mafuta lilolipuka asimulia kila kitu ajari ilivyoyokea na mpka kunusulikaa. aeleze alivyokatika miguu

Acha kukurupuka...dereva na abiria walikatika mikono na miguu possibły na kufa, huyo ni dereva wa bodaboda...shuhuda.
 
Mbona kasimama au alihojiwa kabla ya ajali?

Halafu ilivyoletwa sheria ya waandishi angalau wawe na degree mkasema mnaonewa [emoji16][emoji16]
Kama sikosei huyo ni shuhuda ambaye ni dereva boda boda niliona pia mahojiano na Global tv alikuwa amevaa shati jeupe, nadhani atakuwa ni yeye maana maelezo ni yale yale , cha kushangaza waandishi wetu wa habari ni wa hovyo kabisa , sheria zikitungwa wanakesha kwenye majukwaa wakilalamika Tanzania uhuru wa habar haupo sasa unaweza kujiuliza authenticity ya kitaja na kitajo haviendani kabisa ni shida tupu hadi inaboa na kukera!!!
 
Sio dereva huyo mkuu huyo ni shuhuda tu, dereva raia hawakuhangaika nae wali dili na mwarabu tu. Dereva atakaua alikata kamba na wenzake
Ndio uone binadamu tulivyopoteza utu.yaani kwao Mali ilikuwa Bora kuliko binadamu mwenzao.pole Sana kwa familia ya abiria wa huyo bodaboda aliyeamua kufa akiwasaidia dereva na Mama waliokuwa wamebanwa kwenye gari.serikali ingefanya jitihada atambulike ili japo kuisaidia familia yake iliyosalia.alitambua hatari iliyokuwepo lakini bado alisucrifice uhai wake akijaribu kuwaokoa watu asiowajua.
 
Amina
Aisee hata kama ni kuiba sawa wangeiba ila wangejali maisha ya wenzao kwanza

Pumbavu sana , Mungu inaonekana alikasirika sana huu ujinga yaani unamwacha mwenzako analia ndani we unaiba hafu kuna watu wanasema tuwateteee pole zangu zinaenda kwa dereva abiria na konda pia wapita njia ambao iliwakuta kwa bahati mbaya na pia watoto ambao hawakujua chochote

Ila hawa wengine eeh Mungu nirehemu walale wanapostahili

God forbid
 
Huyo abiria wa boda voda amekufa kisa kumsaidia dereva wa gari ya mafuta.
Yaani amekufa kama kaka binamu yangu, jirani zake walivamiwa na majambazi walivyopiga kelele kaka akaamuka kuwasaidia huwezi amini nae aliuliwa hapo dah.
 
Dereva Wa Gari La Mafuta lilolipuka asimulia kila kitu ajari ilivyoyokea na mpka kunusulikaa. aeleze alivyokatika miguu
Acha kukurupuka nzi wa kijani wewe, uwe unajiridhisha kabla ya kuweka mabandiko humu JF. Si umesikia nzi mwenzio anavyong'ang'ania kutaja Dodoma badala ya Morogoro. Hamjielewi kabisa kazi kukaririshwa tu!! Sh..zi type!!
 
Back
Top Bottom