Samia yeye anafukuzia tuzo za umoja wa maifa. Yani anaenda kinyume na magu
SSH nilikuwa na matumaini lkn sasahivi naona aibu tu kusema bora ya mwenda zake
Mimi naona NECTA wako sawa kabisa make kwenye swala la kuiba mtihani linaweza kupungua. Ila mimi mwenyewe kuna baadhi ya mitihani nilisaidiwaga inzi hizo.
Hata Mimi siwezi kuacha kumsaidia mwanafunzi wàngu
Mimi ninachojua sisi wote ni uzao wa Adam na Eva. Ila baada ya gharika uzao wa nuhu ulisamba ulimwenguni kote. Kasome mwanzo na mambo ya nyakati, mwanzo sote yote kabisa
N. B: siri ya mwanadam ipo kwenye biblia, hivyo jaribu kusoma
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.