peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,799
- 21,370
Mlima kilimanjaro unawaka tena moto usiku huu. KINAPA NA TANAPA AMKENI .
Mkuu usiku huu mlimani kuna moto wa ajabu.Poleni
Waziri Pindi Chana alikagua mlima Wote kwa Chopa akasema Moto umezimwa, imekuwaje tena?!
Weka na pichaMlima kilimanjaro unawaka tena moto usiku huu. KINAPA NA TANAPA AMKENI .
Mlima kilimanjaro unawaka tena moto usiku huu. KINAPA NA TANAPA AMKENI .
Usiku huu picha utaipataje.Weka na picha
Picha itaonekana tuUsiku huu picha utaipataje.
Ila kesho utapata picha mkuu
Duh...!.Mlima kilimanjaro unawaka tena moto usiku huu. KINAPA NA TANAPA AMKENI .
Katom**e ukalaleWachaga wamechukia kwa wanyama wao kuhamishiwa Burigi.
Unawaka upande wa marangu sio machameTuko na mbunge wa Jimbo la Hai naona anafurahia tu kuona moto ukiwaka naye anashangaa kama sisi tunavyo shangaa.
Cha kushangaza moto huo unawaja kutokea upande wa Jimbo la Hai.
Usisahau kuna mioto ya asili ya mstuni (wild fires).
Tumia basi Akili kidogo Umeambiwa unawaka Usiku huuPoleni
Waziri Pindi Chana alikagua mlima Wote kwa Chopa akasema Moto umezimwa, imekuwaje tena?!
Nenda tu BurundiMvua sasa ni mwaka wa pili hainyeshi vya kuridhisha, njaa Kali, mvua ya mwisho na kubwa ni alipozikwa tusiye mpenda,
Sasa ni majanga tupu! Mara moto, Mara ukame, Mara tozo, Mara panya load, mbona majanga!