Mlima Kilimanjaro unawaka tena moto usiku huu ikiwa ni mara ya tatu kwa mwezi Oktoba 2022

Tuko na mbunge wa Jimbo la Hai naona anafurahia tu kuona moto ukiwaka naye anashangaa kama sisi tunavyo shangaa.

Cha kushangaza moto huo unawaja kutokea upande wa Jimbo la Hai.
Unawaka upande wa marangu sio machame
 

Attachments

  • B8F5089E-2D75-4134-96F4-67E00E449A67.jpeg
    B8F5089E-2D75-4134-96F4-67E00E449A67.jpeg
    588.5 KB · Views: 3
  • 70C3E4DA-2D4D-4B45-8BA9-951B3377F3E5.jpeg
    70C3E4DA-2D4D-4B45-8BA9-951B3377F3E5.jpeg
    509.4 KB · Views: 3
Back
Top Bottom