ankai
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 3,280
- 4,236
Yaaani vituo vya radio vinawahamasisha wajinga 100k wanachanga ml 100 kwa kupitia kile wanachokiita eti cheza ushinde ama mchongo pesa kwa kuwambia wacheze huo mchezo kwa gharama ya sh 1000.
Halafu baada ya kituo cha radio kukusanya ml100 kutoka kwa wajinga au mabwege 100k wanamchagua mjinga mmoja labda aliyecheza mara nyingi zaidi na kumpa ml 1.
Halafu wao kituo cha radio kinabaki na ml99 hii ni kwa mchezo mmoja let say hii ni ndani ya kipindi kimoja tu chenye lisaa limoja tu hewani.
Halafu baada ya hapo wanampigia simu na kumpongeza kwa ujinga na uzuzu wake alafu wanamuuliza je unawashauri nini wale wanaotaka kukata tamaa ya kucheza?
Lile zuzu utaskia linasema nawashauri wasikate tamaa waendelee kucheza mara nyingi maana mimi mwenye nimecheza zaidi ya mara 300 daaah unajiuliza hivi ni akili au matope kiukweli kwa akili hizi daah raia wa Tanzania wataendelea kupigwa na kuibiwa mpaka mwisho wa dunia hii kama utakuwepo lakini.
Usalama wa taifa wapo, polisi wapo. Ustawi wa jamii wapo, Rais wa nchi yupo watunga sera wa nchi wapo na vyombo vyooote vya ulinzi na usalama dhidi ya raia vipo.
Halafu baada ya kituo cha radio kukusanya ml100 kutoka kwa wajinga au mabwege 100k wanamchagua mjinga mmoja labda aliyecheza mara nyingi zaidi na kumpa ml 1.
Halafu wao kituo cha radio kinabaki na ml99 hii ni kwa mchezo mmoja let say hii ni ndani ya kipindi kimoja tu chenye lisaa limoja tu hewani.
Halafu baada ya hapo wanampigia simu na kumpongeza kwa ujinga na uzuzu wake alafu wanamuuliza je unawashauri nini wale wanaotaka kukata tamaa ya kucheza?
Lile zuzu utaskia linasema nawashauri wasikate tamaa waendelee kucheza mara nyingi maana mimi mwenye nimecheza zaidi ya mara 300 daaah unajiuliza hivi ni akili au matope kiukweli kwa akili hizi daah raia wa Tanzania wataendelea kupigwa na kuibiwa mpaka mwisho wa dunia hii kama utakuwepo lakini.
Usalama wa taifa wapo, polisi wapo. Ustawi wa jamii wapo, Rais wa nchi yupo watunga sera wa nchi wapo na vyombo vyooote vya ulinzi na usalama dhidi ya raia vipo.