Recent content by ChamaB

  1. C

    Singida: Askari polisi atekwa, akutwa kichakani hajitambui

    Je ni kidume?anakula wake za watu hapo nduguti?maana hapo nduguti ni kamji kadogo sana ila kuna vitoto vya kiarabu vzr ile mby na kuna mganga wa kienyeji hapo ni soooooooo anaagua huyo ile mbayaaaaa
  2. C

    Jana nimechepuka ili kumkomoa mwanaume niliyenaye

    Njoo PM jamani nishajirekebisha mpenzi wangu
  3. C

    Wanaume wote njooni mchague wenyewe

    16 ndio habari ya Mujini "DAIMA MBELE NYUMA MWIKO*
  4. C

    Hili nalo ni tatizo kwa mke wangu uvumilivu unafikia kikomo.Tusaidiane mwenye kufahamu tiba

    Baada ya masaa matatu tokea utupie uzi wako acha niwe wa kwanza kuchangia Kwiiiii kwiiiii
  5. C

    Kwanini Malaya wengi huwa hawapendi Wateja wao ( Wanaume ) kuvua Suruali yote wakiwa Faragha?

    Daaaaaaaah!!umenikumbusha mbali sana mwaka 2005 pale jijini Arusha jamaa yangu ambaye sasa ni Luteni Kanali wa jeshi letu alinunua mlupo pale kwenye kijiwe cha mkuu wa mkoa.....jamaa alikua amekula mkunyati ama viagra alipiga show moja ya kwenye ardhi hadi yule dada alikimbia na pichu mkononi so...
  6. C

    Mpenz wangu wa zaman!!

    Daaaaaaah!!nimewaza km wanaume wa Dar ila shukrani sana kwa hadithi
  7. C

    Swali: Nimempenda binti wa kilokole lakini hanitaki, nitampataje?

    Hii naikumbuka ni Nigerian movie aiseeeee
  8. C

    Je, tulio na account CRDB fedha zetu zipo salama?

    Habarini za usiku wana jukwaa!! Natumaini mpo salama kabisa mkiwa mnamalizia jumamosi tulivu kabisa ya kwa resma yetu.Mie napenda kuuliza tu na kujua kama sisi wadau tulio na account katika bank ya CRDB kama fedha zetu zipo salama maana kwa ninavyoona huu mwenendo wa mzee wa Magogoni kwenda...
  9. C

    Niko katika wakati mgumu kuliko wakati wowote wa maisha yangu

    Kwanza kiuhalisia wewe ni mshabiki wa Liverpool Fc.... Ok!!Kikubwa zaidi piga goti chini na umuombe sana Mwenyeezi Mungu na nina uhakika ukiweka nia kwa dhati ya moyo wako ndani ya siku 40 utakua upo kwenye ulimwengu mwingine kabisa!! All the best
  10. C

    Ni kweli Naibu Waziri wa Maji na Umwagiliaji kazaliwa mwaka 1986? The World Is Not Fair

    Mzazi mwenzangu aliyenizalia mtoto wangu wa nje ya ndoa kazaliwa May 1986 so sishangai sana
  11. C

    Series Kali isiyochosha wala kukinai Tafadhali!

    Tafuta Isidingo the need ama days of our lives
  12. C

    Nilivyomkamata/nilivyompata mke wa pedeshee

    Huyu jamaa atakua kasahau heading ya uzi wake ndio maana kapotea
  13. C

    Anafikiri alipotea njia

    Hili jamaa ni jinga tena jingaaaa kabisa km ni yale mambo yetu ya Tanga kafanyiwa atakuwa kawekwa kwenye chupa ya Amarula hata uiangushe ghorofa ya sita haivunjiki.....achana naye hadi atakapoambiwa hao watoto wote wanne si wake ndio atajua kama risasi inaweza kupigwa hewani ikaibukia siti ya...
  14. C

    Nimehamishwa kutoka kufundisha Sekondari na kupelekwa primary kisa sielewani na mkuu wa shule

    Yaani kisa chako kidogo kifanane na kisa changu maana mimi mke wangu alinifukuzia kwa house girl kisa tuu nilimkonyeza akachukia na kunipa ruhusa nikalale chumba cha mdada wa kazi week ya tatu sasa
  15. C

    Nina mke ananitukana

    Babaaaa Kiyumbi Yogaaaaaa....huo ni msala wako komaa nao babaaaaa km vp nipe namba yake nije nimkanye kanyuuuuu
Back
Top Bottom