Anafikiri alipotea njia

Anafikiri alipotea njia

Pole na hekaheka za hapa na pale za kujitafutia riziki, nisiwachoshe sana ngoja niende kwenye mada. Ni mwaka wa kumi na tatu tangia jamaa yangu aoane na mwenzie wana watoto 4 mpaka sasa kwa mtoto wa kwanza maisha yao ya kimahusiano yalikuwa mazuri ktk familia, kukurukakala zilianzia baada ya kumzaa mtoto wa 3, mke alianza kwenda nyumbani kwao Mara kwa Mara kwa wiki ilikuwa Mara mbili au tatu mume kuona tabia imekolea akaamua kuhoji, mke akajibu tabu iko wapi si ninaenda nyumbani?? Mume akamezea kwanza. Lakini baada ya kuona mke haachi kwenda kwao siku moja akaamua kufuatilia kuona nini huwa kinajiri?? Alipofika kwa wazee akakaribishwa kwa bashasha baada ya kuongea mawili matatu akaamua kufunguka kilichokuwa kimempeleka pale majibu aliyopewa mpaka leo hatamani kwani aliambiwa mkewe ana miezi minne hajawahi kanyaga nyumbani, Mme akapigwa na bumbuwazi akaeleza namna mkewe anavyoaga kwa kudai kuwa anakwenda nyumbani na namna alivyoona tabia hiyo imekithiri akaamua kufuata nyuma siku hiyo baada ya mke kuaga kuwa anaenda nyumban ili kama kuna ya kuongea wayamalize, basi jamaa baada ya kuwa amepewa majibu Yale akarudi nyumbani akiwa mnyonge, mke baada ya kurudi Mme akahoji huwa unaenda Wapi mbona nyumbani hawajakuona siku nyingi?? Mke akasema huwa anaenda kwenye business ambayo huwa anaifanyia mtaan kwao, Mme akahisi kunyang'anywa make akakomaa amwambie ukweli kuhusu kinachoendelea akamnasa vibao viwili vitatu ili akae Sawa mke akaamua kufunguka ukweli wake kuwa yeye hakumpenda alimlazimisha kumuoa lkn aliweka nadhiri ktk nafsi yake kuwa one day atamuacha na kama haitoshi alimlazimisha kubadili dini kutka ktk ukristo na kuingia kwenye uislam, basi mume ikabidi ashuke akamuomba make aseme chochote Mme atatoa ili mradi wayaweke Sawa mke akataka ya kutaka Mme akagharamikia mke akasema yameisha lkn akaomba ombi moja tu kwa mmewe kwamba kila mmoja aendelee na dini yake Mme akaridhia maisha yakasonga baada ya miezi kadhaa tabia ya mke imerudi kuliko hata mwanzoni anaweza kutoka nyumban siku mbili mfululizo Mme hajui yuko wapi, Mme amepeleka malalamiko nyumbani, ameomba ushauri sehemu mbalimbali lakini mke haoneshi kubadirika anadai anampenda sana mke wake na hataki watoto wake walelewe na mama mwingine tofauti na mkewe. Sasa anahisi kulemewa na Tabia hii anahisineno ningejua limekuja mwisho was safari. Ushauri wenu wazoefu was mambo haya....... Nawasilisha
Sometimes we need to use our brain than heart.
 
sasa kama hataki watoto walelewe na mama mwingine aendelee kuvumilia.
 
amwache aende,watoto wanalelewa na mama asiyempenda baba...ya nn sasa
 
Mkuu wanaume tuna kazi ya kuangalia mambo mengu tukiisha kuwa na ndoa, tunapoteleza kidogo tuu tunajikuta mengine yametushinda......
 
Dah ndo ndoa za kisasa eeh ngoja niwepo niwepo kwanza
 
Pole na hekaheka za hapa na pale za kujitafutia riziki, nisiwachoshe sana ngoja niende kwenye mada. Ni mwaka wa kumi na tatu tangia jamaa yangu aoane na mwenzie wana watoto 4 mpaka sasa kwa mtoto wa kwanza maisha yao ya kimahusiano yalikuwa mazuri ktk familia, kukurukakala zilianzia baada ya kumzaa mtoto wa 3, mke alianza kwenda nyumbani kwao Mara kwa Mara kwa wiki ilikuwa Mara mbili au tatu mume kuona tabia imekolea akaamua kuhoji, mke akajibu tabu iko wapi si ninaenda nyumbani?? Mume akamezea kwanza. Lakini baada ya kuona mke haachi kwenda kwao siku moja akaamua kufuatilia kuona nini huwa kinajiri?? Alipofika kwa wazee akakaribishwa kwa bashasha baada ya kuongea mawili matatu akaamua kufunguka kilichokuwa kimempeleka pale majibu aliyopewa mpaka leo hatamani kwani aliambiwa mkewe ana miezi minne hajawahi kanyaga nyumbani, Mme akapigwa na bumbuwazi akaeleza namna mkewe anavyoaga kwa kudai kuwa anakwenda nyumbani na namna alivyoona tabia hiyo imekithiri akaamua kufuata nyuma siku hiyo baada ya mke kuaga kuwa anaenda nyumban ili kama kuna ya kuongea wayamalize, basi jamaa baada ya kuwa amepewa majibu Yale akarudi nyumbani akiwa mnyonge, mke baada ya kurudi Mme akahoji huwa unaenda Wapi mbona nyumbani hawajakuona siku nyingi?? Mke akasema huwa anaenda kwenye business ambayo huwa anaifanyia mtaan kwao, Mme akahisi kunyang'anywa make akakomaa amwambie ukweli kuhusu kinachoendelea akamnasa vibao viwili vitatu ili akae Sawa mke akaamua kufunguka ukweli wake kuwa yeye hakumpenda alimlazimisha kumuoa lkn aliweka nadhiri ktk nafsi yake kuwa one day atamuacha na kama haitoshi alimlazimisha kubadili dini kutka ktk ukristo na kuingia kwenye uislam, basi mume ikabidi ashuke akamuomba make aseme chochote Mme atatoa ili mradi wayaweke Sawa mke akataka ya kutaka Mme akagharamikia mke akasema yameisha lkn akaomba ombi moja tu kwa mmewe kwamba kila mmoja aendelee na dini yake Mme akaridhia maisha yakasonga baada ya miezi kadhaa tabia ya mke imerudi kuliko hata mwanzoni anaweza kutoka nyumban siku mbili mfululizo Mme hajui yuko wapi, Mme amepeleka malalamiko nyumbani, ameomba ushauri sehemu mbalimbali lakini mke haoneshi kubadirika anadai anampenda sana mke wake na hataki watoto wake walelewe na mama mwingine tofauti na mkewe. Sasa anahisi kulemewa na Tabia hii anahisineno ningejua limekuja mwisho was safari. Ushauri wenu wazoefu was mambo haya....... Nawasilisha
Hili jamaa ni jinga tena jingaaaa kabisa km ni yale mambo yetu ya Tanga kafanyiwa atakuwa kawekwa kwenye chupa ya Amarula hata uiangushe ghorofa ya sita haivunjiki.....achana naye hadi atakapoambiwa hao watoto wote wanne si wake ndio atajua kama risasi inaweza kupigwa hewani ikaibukia siti ya nyuma ya daladala
 
Hili jamaa ni jinga tena jingaaaa kabisa km ni yale mambo yetu ya Tanga kafanyiwa atakuwa kawekwa kwenye chupa ya Amarula hata uiangushe ghorofa ya sita haivunjiki.....achana naye hadi atakapoambiwa hao watoto wote wanne si wake ndio atajua kama risasi inaweza kupigwa hewani ikaibukia siti ya nyuma ya daladala
Mkuu ChamaB watoto ni wa jamaa coz watoto wake wa kwanza na watatu ni wa kiume watoto wamefanana na jamaa huwez uliza labda huyu wa like ambaye ni wa pili ndio kafanana na mama kias fulani na huyu wa nne ni wa kiume amefanana na jamaa sana......
 
Wanaume wanazidi kuisha ..si afukuze tu ??.

Ivi kwann uruhusu kuumizwa namtu mwingine ??

Alafu uboya wake nipale walipo bargain lidemu likampa mashariti ....aachane naye bana.
 
Haya mama ya kutumia nguvu nyingi na ushawishi kuoa huwa yana gharama zake.

Kuoa mwanamke anayekupenda ni vema zaidi hasa kipindi hiki kuliko kuoa mwanamke unayempenda.
 
Haya mama ya kutumia nguvu nyingi na ushawishi kuoa huwa yana gharama zake.

Kuoa mwanamke anayekupenda ni vema zaidi hasa kipindi hiki kuliko kuoa mwanamke unayempenda.
Haswaa chris. Upendo kutoka moyoni kwanza alaf ndoa. Haya mbambo ya kulazimisha ndoa sababu labda una kauwezo , unaforce kumbe mke hajaridhia moyoni, madhara yake ndio haya.

Kwa hiyo jama ali make big mistake kuingia kwenye ndoa na huyu mwanamke.
 
Haswaa chris. Upendo kutoka moyoni kwanza alaf ndoa. Haya mbambo ya kulazimisha ndoa sababu labda una kauwezo , unaforce kumbe mke hajaridhia moyoni, madhara yake ndio haya.

Kwa hiyo jama ali make big mistake kuingia kwenye ndoa na huyu mwanamke.
Hatari sana. Baadae wahanga huwa watoto.
 
Basi japoni ngumu ila itabidi ajikaze kiume. Asishushe hadhi yakekujarib kumridhisha huyo mke...
Ataharib heshima yake.

Amwache aende,yeye angaalie watoto wake na jinsi ya kuwalea. Hapa kwa sasa akubali tu kuwa hakuna upendo..
 
Sema tu kwamba ni wewe mwenyewe na wala sio rafiki yako
 
Hivi tangu lini wanaume tumeanza kuhofia kuoa mke zaidi ya mmoja??
Ni ujinga gani huu??
Yaani mimi anaenda kwao Mara kwa mara namwambia ukienda usirudi tena. Hapo lazima analea watoto sio wake.
Watoto ni mali ya mama. Acha aende nao
 
Pole na hekaheka za hapa na pale za kujitafutia riziki, nisiwachoshe sana ngoja niende kwenye mada. Ni mwaka wa kumi na tatu tangia jamaa yangu aoane na mwenzie wana watoto 4 mpaka sasa kwa mtoto wa kwanza maisha yao ya kimahusiano yalikuwa mazuri ktk familia, kukurukakala zilianzia baada ya kumzaa mtoto wa 3, mke alianza kwenda nyumbani kwao Mara kwa Mara kwa wiki ilikuwa Mara mbili au tatu mume kuona tabia imekolea akaamua kuhoji, mke akajibu tabu iko wapi si ninaenda nyumbani?? Mume akamezea kwanza. Lakini baada ya kuona mke haachi kwenda kwao siku moja akaamua kufuatilia kuona nini huwa kinajiri?? Alipofika kwa wazee akakaribishwa kwa bashasha baada ya kuongea mawili matatu akaamua kufunguka kilichokuwa kimempeleka pale majibu aliyopewa mpaka leo hatamani kwani aliambiwa mkewe ana miezi minne hajawahi kanyaga nyumbani, Mme akapigwa na bumbuwazi akaeleza namna mkewe anavyoaga kwa kudai kuwa anakwenda nyumbani na namna alivyoona tabia hiyo imekithiri akaamua kufuata nyuma siku hiyo baada ya mke kuaga kuwa anaenda nyumban ili kama kuna ya kuongea wayamalize, basi jamaa baada ya kuwa amepewa majibu Yale akarudi nyumbani akiwa mnyonge, mke baada ya kurudi Mme akahoji huwa unaenda Wapi mbona nyumbani hawajakuona siku nyingi?? Mke akasema huwa anaenda kwenye business ambayo huwa anaifanyia mtaan kwao, Mme akahisi kunyang'anywa make akakomaa amwambie ukweli kuhusu kinachoendelea akamnasa vibao viwili vitatu ili akae Sawa mke akaamua kufunguka ukweli wake kuwa yeye hakumpenda alimlazimisha kumuoa lkn aliweka nadhiri ktk nafsi yake kuwa one day atamuacha na kama haitoshi alimlazimisha kubadili dini kutka ktk ukristo na kuingia kwenye uislam, basi mume ikabidi ashuke akamuomba make aseme chochote Mme atatoa ili mradi wayaweke Sawa mke akataka ya kutaka Mme akagharamikia mke akasema yameisha lkn akaomba ombi moja tu kwa mmewe kwamba kila mmoja aendelee na dini yake Mme akaridhia maisha yakasonga baada ya miezi kadhaa tabia ya mke imerudi kuliko hata mwanzoni anaweza kutoka nyumban siku mbili mfululizo Mme hajui yuko wapi, Mme amepeleka malalamiko nyumbani, ameomba ushauri sehemu mbalimbali lakini mke haoneshi kubadirika anadai anampenda sana mke wake na hataki watoto wake walelewe na mama mwingine tofauti na mkewe. Sasa anahisi kulemewa na Tabia hii anahisineno ningejua limekuja mwisho was safari. Ushauri wenu wazoefu was mambo haya....... Nawasilisha
Huyo naye anajiita mme au takataka. Hofu yake nini. Mimi kwangu haijalishi tumezaa watoto 20 au kumi sijui wangapi sivumilii ujinga hata sekunde.
Watoto ni watoto nakupenda wewe kama wewe mke uzae usizae utabaki kuwa kipenzi changu kufa. Siwezi kupata mateso ya moyo kisa watoto uliozaa.
Kama kuzaa ndiyo kuolewa wapo kibao wamezalia nyumbani lakn ndoa hawana ila maisha yanasonga mbele.
Ndoa ya mateso ni zaidi ya jehanama ni heri hata kuishi juu ya mti kama pana aman kuliko kuishi kwenye kasili la mateso.
Mwambie aache kutuaibisha mudume huyo.
 
Tatizo ni kua huyo jamaa hakutatua tatizo, ila alipata maelezo ambayo hayatatui tatizo lenyewe.

Anatakiwa kujua kua mwanamke amepata mtu mwingine,laiti angetulia kujua ni nani na ni wapi ingekua dawa angalau.na akithibitisha amwache kwani kama hataki kumuacha sababu ya watoto, basi wote watawaacha watoto wao yatima kwa maradhi.
 
Mwanamke akishatoka nje ya ndoa Mara 1 haina haja tena ya kuendeleanae kamwe.....
 
Back
Top Bottom