Age 36! Nimeshazika babu na bibi zangu pande zote mbili, nimeshamzika baba yangu, baba yangu mdogo na nilishamzika kaka yangu 😓😓😓
So sad
Dunia haina huruma, Duniani kumejaa shida dhiki taaabu huzuni mateso ya kila aina tukisubiri kifo
japo hajatendewa haki na hali aliyonayo pia ni ngumu sana kwa kukosa macho!
Kuimba kupokezana, mwanamke nae aitwe aeleze ili tuweze kumwangushia jumba bovu kihalali!
Dunia haina huruma 🥴🥴
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.