Recent content by chafya ngumu

  1. C

    Baada ya Tulia kutumika, mumewe boss wa Ewura naye apigwa chini

    Unafikiri kiasi walichojichumia kitaisha wakiwa hai!! Kaapo ukisubiri kuwaona kwenye mstari wa TASAF 😂😂
  2. C

    Trump amegundua Marekani hapigani na Iran pekee. Kuna wababe wengine nyuma yake. Dawa ni kukimbia vita kiaina

    daah kwingine kote sawa nimevumilia kwa uchambuzi uchwara ila hapo kwa ccp ya china nimecheka sana
  3. C

    Je, kuna nchi inazidi China kwa miundombinu ya kuvutia?

    Alafu kunachina wanapambania kombe huku, hii ni ajabu
  4. C

    Polisi inawafuatilia mnaoweka taa kali kwenye magari yenu

    Kama wangekuwa serious kuziondoa lingekuwa swala la maana!! Maana unaweza pigwa taa ukawa kipofu nusu saa
  5. C

    Je, ni sahihi kwa mwanamke kuanika nguo zake za ndani nje

    Mkeo au mzazi aanike hapo barazani sio?!
  6. C

    Hii bei ya mafuta wiki chache zijazo tutaiona ni bei ndogo

    Kwani kujaza full tank ndo tatizo kuisha!! Hilo gari huna wewe
  7. C

    Chemsha bongo: Jina langu ni Chai. Mke wangu ni Sukari. kijana wangu ni... ?

    Mafuta yamepanda bei! Mtoto wa dada huna habari 🚯
  8. C

    Italia imekataa kuruhusu ndege za kijeshi za Marekani kutua katika kituo cha kimkakati cha sigonella

    Bora hivyo ili wajipambanie wenyewe kuliko yanayowakuta waarabu huko! Mtegemea cha nduguye one day nikudhalilika
  9. C

    Muhoozi mbona mropokaji sana? ana sifa kuwa CDF kweli?

    Na iko siku atasema wanawake wa uganda wote ni wake 😂😂
  10. C

    Hivi kuandika hivi Kwa kizazi hiki ndio swaga ama Nini?

    Mtu akiandika hivyo huwa namuona waajabu sana, mbaya zaidi unakuta sms ya mwanaume hivyo daaah kinyaa
Back
Top Bottom