Channel ten imeonyesha vurugu kubwa hadi mabomu ya machozi na mawe kutumika katika rabsha hiyo. Sababu kubwa ni police almaarufu kama tigo kumkamata mwendesha bodaboda baada ya kukiuka sheria. Je vitendo hivyo ni dalili ya waboda kuchoshwa na matendo ya police?
Kwa siku za karibuni inaonyesha CCM wameamua kuingia kwa nguvu zote kukipigania chama kupitia mitandao ya kijamii. Wanajamvi hii itasaidia kuiokoa CCM isianguke?
African Conservation Tillage Network
Vacancy: Program Officer Duty Station: Nairobi
Vacancy: Program Officer - Duty Station: Dar Es Salaam
The African Conservation Tillage Network (ACT) is a Pan-African not for profit organization built on and driven by the values and principles required to...
Wanatakiwa kujiuzuru kwa sababu hawajachukua tahadhari yoyote baada ya issue ya Mbagala. Siyo issue ya kufanya utafiti tena - kwa sababu tayari kuna findings.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.