kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,213
du halafu neno tamko kaandika ki-pemba.Vipi tanko bado tu au ndio ilikuwa danganya toto kama ilivyo kawaida yao chadema .
Poleni sana
Updates ni muhimu jamani.
du halafu neno tamko kaandika ki-pemba.Vipi tanko bado tu au ndio ilikuwa danganya toto kama ilivyo kawaida yao chadema .
Poleni sana
Vipi tanko bado tu au ndio ilikuwa danganya toto kama ilivyo kawaida yao chadema .
Poleni sana
Vipi tanko bado tu au ndio ilikuwa danganya toto kama ilivyo kawaida yao chadema .
Poleni sana
Hayo yote yanamwisho.Nitafurahi kama tamko litaelezea njia mbadala ya kuhakikisha tunakuwa na umeme wa kudumu, kupita kwa wamiliki viwanda kupunguza bei ili mlipuko wa bei usiwepo,pia njia mbadala ya kutufanya sisi tusilipe deni la dowanz na mali zetu za nje ya nchi zisishikwe.
Pia nitajisikia faraja kama tamko litakuwa la hekima na si jaziba. Ugomvi wa CDM na Makamba tumesha uchoka.Kulalamika sana ni dalili mbaya
Hafaidiki chochote ni ulimbukeni tu.unafaidika na mfumo mbovu wewe. Si bure
Wakuu hilo tamko bado tu... naona muda ushatimia jaribuni kufuatilia mtujuze!!!
sizani kama ulifaulu mtihani wa darasa la saba, ntanko ndio nini sasa ?Vipi tanko bado tu au ndio ilikuwa danganya toto kama ilivyo kawaida yao chadema .
Poleni sana
kweli wewe ni mshabiki njaa,unajua jitihada Mnyika ndiyo ziliyoiweka serikali pabaya nakuwa tayari kuwalipa!usiwe mdaku fanya utafiti mzuri unategemea mbunge afanye nini zaidi ya kuwatetea watu wake kwa maneno na misukumo?Nilitembelea pale Big brother siku ya pili baada kuvunjwa nikawauliza jamaa wanategemea mbunge wao Mnyika atawasaidiaje kwenye hali ile, wote wakajibu kwa kejeli ATATOA TAMKO!! baada ya masaa machache mnyika akatoa tamko kweli. Na leo tunasubiri CDM watoe TAMKO.
Yaani wewe post yako ya kwanza ni kuagiza upewe tamko duh!! subiri ndio wako kwenye kikao kitaisha saa 12 jioni.Ni saa sita na nusu hivi kwa sasa. Mtujuvye kinachoendelea