Recent content by ccg

  1. ccg

    Wadada wa kazi na visa vyao, nimemtimua wangu jana

    Huna akili wewe safi sana Dada wewe huwez kukaa na msichana msaidiz kaz za Mke wako hatakiwi afanye yeye
  2. ccg

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Maendeleo kwanza yatoke kwetu sisi wenyewe ndipo tumshirikishe kiongozi kuhusu usimamiaji wa rasilimali zetu
  3. ccg

    Dr. Slaa Vs Lowassa Urais 2015

    Rais atakae ingia nithahiri kabisa hawezi kuwatimizia watanzania maendeleo
  4. ccg

    Story ya mapenzi ya kweli: Nakupenda JK

    Poa nipo kwa jack hapa
  5. ccg

    Huyu housegirl anaelekea kuvunja ndoa yangu sasa

    Wewe ndokisababishi kwako unajua hakuna kinga naunajua hana cha kujitetea unamakosa sana ngoja iwake tuje kuzima ikiwa kilakitu kimejulikana pole na hongera kwa kijacho ulijitahidi wengine wanatafuta mpaka sasa hawajapata
  6. ccg

    Basi kama hili likija Bongo, Je kuna njia za kupita?

    Ikifika inatembea hatushindwi kitu hapa
  7. ccg

    Yaliyojiri Bungeni - 15 Mei 2015

    Hatupo makini ukiona wambali kakujua basi nikujitambua maana atamlev akitumia pesa vibaya kwenye pombe hawezi kuiona hasara ambaye hutumii utamuona mtumiaji
  8. ccg

    Mkuu wa jeshi Burundi anasema leo atakamilisha kazi

    Nawatakien Amani ndugu zangu
  9. ccg

    Mafuriko makubwa yaikumba Dar es Salaam

    Daaah hii dhahama jaman ata kama haupo bondeni kunammomonyoko wa udongo
  10. ccg

    Rafiki wa mpenzi wangu ananitaka kimapenzi, nifanye nini jamani?

    Kula pesa2 mpaka akimbie mwenyeww
  11. ccg

    Kwanini Mahotelini hakuna nyama ya Bata?

    Daaah ebwana unajua shughuli yakumwandaa bata ili awetayari kulika lakini hapo ndonaona wanchemka wapishi niwachache sana na bata kabla hujamchinja anaitaji maandalizi sio kama ndege wengine
  12. ccg

    Nahisi rafiki yangu anataka nimsaidie kumtia mimba mke wake

    Mpaka mkewe akuambie mwenyewe
  13. ccg

    Wabunge 10 machachari, 10 wakimya

    Hivi kunamajimbo hambayo hayana kero zozote kweli au hawa walikua wanasubiria 2 mshahara na zile posho wakalee familia zao jamani tusimame kwa nguvu kujua haki zetu zinafikishwa sehemu husika
  14. ccg

    Unaweza kukisia hichi kiazi kina kilo ngapi?

    Huku nako tubet
Back
Top Bottom