Kwanini Mahotelini hakuna nyama ya Bata?

Kwanini Mahotelini hakuna nyama ya Bata?

Kuna kitu kinanichanganya sana.Nimetembea katika hoteli ni migahawa mbalimbali ndani na nje ya nchi lakini sijawahi kukuta nyama ya bata inauzwa. mfano - CHIPS BATA,WALI BATA UGALI BATA, lakini zimejaa nyama za kuku tu. Je, kwanini hatupendi kula nyama ya bata kama kuku?

Je, siyo tamu,ni gharama?

Jamani karibuni tujuzane.

Sijui umepitia migahawa gani labda, jaribu Chinese restaurants utaikuta.
 
Kama upo hapa Dar- tembelea Golden Tulip. nyama ya bata ipo.
 
bata ni common sana baadhi ya maeneo, tembea temba utaona
 
Kuna kitu kinanichanganya sana.Nimetembea katika hoteli ni migahawa mbalimbali ndani na nje ya nchi lakini sijawahi kukuta nyama ya bata inauzwa. mfano - CHIPS BATA,WALI BATA UGALI BATA, lakini zimejaa nyama za kuku tu. Je, kwanini hatupendi kula nyama ya bata kama kuku?

Je, siyo tamu,ni gharama?

Jamani karibuni tujuzane.
majumbani umekuta Chips bata n.k lini?
 
Ni kutokana na mahitaji ya walaji yaani wanunuzi.
 
Mtoa mada umetisha! Nafikiri nyama ya bata siyo tamu sana hivyo haipendwi na watu wengi na kwa maana hiyo haina soko.. Maana kuna wachangiaji wanadai eti ana gharama sana. Hivi gharama ya bata ni kubwa kuliko ya Noa a.k. mdudu a.k.a kitimoto?
 
Daaah ebwana unajua shughuli yakumwandaa bata ili awetayari kulika lakini hapo ndonaona wanchemka wapishi niwachache sana na bata kabla hujamchinja anaitaji maandalizi sio kama ndege wengine
 
Kuna ile dhana kwamba, ukimnyonyoa bata ukiwa unaongea eti manyoya yanaota tena!
 
Back
Top Bottom