Nitakuaminije wakati hata kuandika hujui! (unihamini = huniamini)
hapana mkuu
ikiwekwa ya bata utasema mbona ya mbwa hamna
Sema umetembelea vijiwe vyote vya mama ntilie.... na usitudanganye kuwa wewe ni mtu wa ''hoteli za ndani na nje ya nchi''.
Kuna kitu kinanichanganya sana.Nimetembea katika hoteli ni migahawa mbalimbali ndani na nje ya nchi lakini sijawahi kukuta nyama ya bata inauzwa. mfano - CHIPS BATA,WALI BATA UGALI BATA, lakini zimejaa nyama za kuku tu. Je, kwanini hatupendi kula nyama ya bata kama kuku?
Je, siyo tamu,ni gharama?
Jamani karibuni tujuzane.
majumbani umekuta Chips bata n.k lini?Kuna kitu kinanichanganya sana.Nimetembea katika hoteli ni migahawa mbalimbali ndani na nje ya nchi lakini sijawahi kukuta nyama ya bata inauzwa. mfano - CHIPS BATA,WALI BATA UGALI BATA, lakini zimejaa nyama za kuku tu. Je, kwanini hatupendi kula nyama ya bata kama kuku?
Je, siyo tamu,ni gharama?
Jamani karibuni tujuzane.
Kha, nina ghadhabu nimeibiwa mkate wa chai asubuhi
Ndugu umeamua kutoka na huu usemi kwa kila Uzi?
Kondoo je umeona nyama yake ikiuzwa hotelini?