hivi ni kweli, kuendesha bandari kuna watu wamelala? mh, kama samaki kulala baharini!Sio dharau ila anawaamsha mliolala saa 7 mchana
mi naona na nanjua sema huwezi sema labda kama sipendi meno yangu na kucha zanguwe hujaona kitu ?
Mimi huwa hii kitu inanishangaza na kamwe sijawahi kupata mantiki yake.
Mbunge anasimama na kusema kwamba anaunga mkono hotuba ya WM kwa 100%
Halafu wakati wa kuchangia anaanza kulalamika tangu mwanzo wa hotuba yake hadi mwisho i.e. analalamika kwa 100%
Mbunge wa aina hii tumeweke katika kundi gani?
hivi ni kweli, kuendesha bandari kuna watu wamelala? mh, kama samaki kulala baharini!
​Mdau,mkulima yupo kundi la maskini na watu wa kipato cha chini,ieleweke kwamba BENKI SIO RAFIKI WA MASKINI....so bank ya wakulima its just ............benki ya kilimo ipo na imeshaanza kukopesha cha ajabu inawakopesha wafanyabiashara.
nipo dodoma nimetembelea maeneo ya kizota nimeona yamejengwa maghala makubwa ya wafanyabiashara.
Inasemekana ni mkopo wa bank ya kilimo.
sasa nauliza ni kwa nini isiwakopeshe wakulima?
​Ha ha ha, watamrudisha tu mdau...........hyu mgimwa ndo namuona leo nyuma ya mic afu anambwela tu sijui km atarudi mjengoni
Hata weye ungepewa secta hiyo na Tanesco nchi hii isingelikaa iombe msaada popote. Ukiisimamia kwa mwaka mmoja tu wananchi wanagawiwa pesa wale wasio na kazi