Yaliyojiri Bungeni - 15 Mei 2015

Yaliyojiri Bungeni - 15 Mei 2015

Namuunga mkono mkosamali na kagame! Hata Mwakyembe angeendelea mapato yangeongezeka mara 100
 
Hatupo makini ukiona wambali kakujua basi nikujitambua maana atamlev akitumia pesa vibaya kwenye pombe hawezi kuiona hasara ambaye hutumii utamuona mtumiaji
 
Mtu wa nje anatoa msaada unasema amekudharau - ili ni tatizo kubwa kwa mtanzania wa aina hii. Ushahidi anao kwani Rwanda inaitwa ni Singapore ya Africa.
 
Ww ulitaka awaambieje,nchi na rais ambaye aliambiwa na Mnyika ni dhaifu,ina mawaziri wachovu wa kufikiri,unategemea nn?
 
Maneno tu ya kisiasa hakuna lolote inamaana yeye ana akili kuliko viongozi wote wa TZ.
 
Mimi huwa hii kitu inanishangaza na kamwe sijawahi kupata mantiki yake.

Mbunge anasimama na kusema kwamba anaunga mkono hotuba ya WM kwa 100%

Halafu wakati wa kuchangia anaanza kulalamika tangu mwanzo wa hotuba yake hadi mwisho i.e. analalamika kwa 100%

Mbunge wa aina hii tumeweke katika kundi gani?

mnafiki hafai
 
Mimi naamini angefanya hivyo kasema kweli dharau iko wapi hapo? Kashindwa tu kusema yeye ndio angekuwa TZ hilo ni fumbo
 
benki ya kilimo ipo na imeshaanza kukopesha cha ajabu inawakopesha wafanyabiashara.
nipo dodoma nimetembelea maeneo ya kizota nimeona yamejengwa maghala makubwa ya wafanyabiashara.
Inasemekana ni mkopo wa bank ya kilimo.
sasa nauliza ni kwa nini isiwakopeshe wakulima?
​Mdau,mkulima yupo kundi la maskini na watu wa kipato cha chini,ieleweke kwamba BENKI SIO RAFIKI WA MASKINI....so bank ya wakulima its just ............
 
Naangalia tv changa bunge hakuna ama bora matiko alivyosema tbc taifa itangaze matangazo yote ya bunge
 
Huyu mgimwa anasifie halafu anaanza kulalamika hapo hapo tena. Duh? Hatari
 
Back
Top Bottom