Duh pole sana na hongera kwa kuwa mvumilivu. But mwenye last decision ni ww hata kama watu milion wakikushauri haitasaidia kitu. Fanya maamuz sahihi ambayo unafikir hayatakudhuru. Kwa mazingira hayo unayoishi na mkeo upo at risk position. Amani ni kitu cha msingi sana ktk maisha. Sasa kama mkeo...
Ukwel huyo mkeo anatakiwa kambiwa reality jinsi maisha yanavyokwenda coz cku hiz maisha ni mafupi sana. Hivyo bac hata kama utawaandalia watoto maisha yao ya baadaye atashindwa kuhandle familia vzr zaid ya kufuja mali. jaman maisha ni kusaidiana
Ama kwel ww dada huna hata chembe ya hofu ya Mungu ndani ya nafsi yako! kumbuka bila huyo mwanamme ambaye hamuendan kwa sasa ucngepata hata hiyo degree! na pengine ucngelimpata hata mwanamume ambaye pengine unafikiri mnaendana kwa sasa. think twice.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.