hayajakufika ndugu na wewe iko siku watakuita ----- !!! halafu huko kugegeda kuna mwisho, cku ukitaka kuoa utagegeda na kusepa hadi lini?
mie mwenzio nitao by the way.....
hayajakufika ndugu na wewe iko siku watakuita ----- !!! halafu huko kugegeda kuna mwisho, cku ukitaka kuoa utagegeda na kusepa hadi lini?
Sepa faster....Ndugu wana jamii nahitaji msaada wenu,nina mchumba ambaye nimedumu nae kwa muda wa miaka 2,nampenda sana na ni mrembo sana.Hivi karibuni nimegundua ametoa ujauzito ambao alinipa taarifa kuwa anao lakini anajitetea kuwa hakuwa nao.Mbaya zaidi kwa sasa ananijibu kwa kauli mbovu sana na hata muda wa kuongea nami hana zaidi ya kunikatia simu napata shida kuacha kumtafuta na kusahau yote niliyoshirikiana nae naomba ushauri wenu nifanyeje au niendelee kupigania haja ya moyo wangu?
Mmh! kumbe ndo zako
Ndugu wana jamii nahitaji msaada wenu,nina mchumba ambaye nimedumu nae kwa muda wa miaka 2,nampenda sana na ni mrembo sana.Hivi karibuni nimegundua ametoa ujauzito ambao alinipa taarifa kuwa anao lakini anajitetea kuwa hakuwa nao.Mbaya zaidi kwa sasa ananijibu kwa kauli mbovu sana na hata muda wa kuongea nami hana zaidi ya kunikatia simu napata shida kuacha kumtafuta na kusahau yote niliyoshirikiana nae naomba ushauri wenu nifanyeje au niendelee kupigania haja ya moyo wangu?
Ndugu wana jamii nahitaji msaada wenu,nina mchumba ambaye nimedumu nae kwa muda wa miaka 2,nampenda sana na ni mrembo sana.Hivi karibuni nimegundua ametoa ujauzito ambao alinipa taarifa kuwa anao lakini anajitetea kuwa hakuwa nao.Mbaya zaidi kwa sasa ananijibu kwa kauli mbovu sana na hata muda wa kuongea nami hana zaidi ya kunikatia simu napata shida kuacha kumtafuta na kusahau yote niliyoshirikiana nae naomba ushauri wenu nifanyeje au niendelee kupigania haja ya moyo wangu?