Recent content by Cathode Rays

  1. Cathode Rays

    Wauza smartphone tukutane hapa

    HELP: Nahutaji touch screwn ya Infinix Note 4
  2. Cathode Rays

    VIDEO: Diamond na Nandy waitwa TCRA, hivi ndivyo ilivyokuwa

    Sema ukilelewa na mama mjinga mjinga. Wengine tumelelewa na mama peke yake lakini mwenye kujielewa na uwezo wa kucheza vizuri 'father figure' na hakika hata pengo la Baba halionekani kwenye tabia na mwenendo kwa ujumla wake
  3. Cathode Rays

    Tupia picha ya binti yoyote Tanzania anaemzidi Zari kwa uzuri wa kila kitu

    Laiti ingekuwa natural without make ups....
  4. Cathode Rays

    Rushwa inayoendelea ktk eneo la ukaguzi wa magari (Transit Goods)Pale Vigwaza eneo la mzani ni ya kutisha!

    Inaonekana hujapita kabisa eneo hilo Ila kwa ufupi kuna kituo kikubwa sana cha ukaguzi wa magari eneo Karibu na ilipo mizani...Na kuna wakati wanakuwapo Askari wa kutosha wanaoletwa na coaster kabisa ya PT
  5. Cathode Rays

    Roberto Carlos: Badala ya kumkaba Ronaldinho Gaucho nilicheka Kwa kukumbuka chenga alilompiga Gattuso

    Steven Gerald 0 PL - Wesley Brown 4 PL Harry Kane 0 PL 0 UCL finals - Luke Chadwick 3 PL and 1 UCL finals
  6. Cathode Rays

    Ya Mtulia hayana tofauti na ya Lowassa

    Hahaaa....samahani mkuu. Ndo maana nimesema alama za funga semi
  7. Cathode Rays

    Jeshi la Kenya limetumia busara sana.

    Hivi ni "amekimbia" mkutano Na kurudi nyumbani au ni Mkutano umeisha sasa karudi nyumbani?
  8. Cathode Rays

    Ya Mtulia hayana tofauti na ya Lowassa

    Chama chenye miaka zaidi ya 30 kinachoshikilia dola...chenye kujigamba kuwa Na wanachama zaidi ya Million 8 walioiva kiitikadi...chama kilichojengwa katika misingi ya TANU (Hivyo kuwa Na uzoefu wa zaidi ya miaka 50).....kinapofikia kuhalalisha udhaifu kwa kujilinganisha na chama cha "juzi"...
  9. Cathode Rays

    Mnunuzi wa nyumba/ kiwanja usilazimishwe kulipa 10% Serikali za mitaa, haipo kisheria

    Nimenunua viwanja Mradi wa viwanja Mvomero na agizo juu la kulipa hiyo 10% tena kwa akaunti rasmi ya Halmashauri inayojulikana kama "DED Mvomero Miscellaneous" Ninaposoma hii thread unajikuta niko confused maana hiyo 10% niliyolipa kwa Jan ni hatari
  10. Cathode Rays

    Kwa mara ya kwanza, Serikali yachukua gawio la Tsh. Bilioni 19.5 kutoka Benki ya CRDB

    Najaribu kuwaza 1. Taasisi za serikali funga akaunti zote na bank 2. Fukunyua za zamani hakikisha zote zimerudi 3. Aliyekuwa waziri mkuu akalazimika kutoka kama mjumbe wa Bodi akihofu labda yeye ndiye Yona kwenye meli 4. Nini kinafuata?? Alamsiki
  11. Cathode Rays

    Rais Magufuli awateua Prof. Mruma, Prof. Buchweshaija na Prof. Liwa kwenye nafasi mbalimbali

    Angempa Wizara ya Nishati na madini inge-cement sana credibility ya findings na recommendations za tume yake Nawaza tu
  12. Cathode Rays

    Mzee John Cheyo amesema kuna mwana ACT katika timu inayojadiliana na Acacia

    Possibly Zitto.....naona hata Social Media haonekani sana kama ilivyo ada yake
  13. Cathode Rays

    Mrisho Mpoto arudi na Mrejesho wa SIZONJE ''Kitendawili''

    "Unaonaje, Tuzike kwanza au tuhesabu idadi ya maiti zinazotembea"
Back
Top Bottom