PintoG
JF-Expert Member
- Jun 12, 2017
- 612
- 731
Dunia ilitarajia leo yangetokea machafuko wakati Odinga akijiapiza kuwa raisi wa watu wa kenya.ilitarajiwa police wa kenya wangezuia na kusababisha umwagikaji wa damu hasa kutokana na umati mkubwa wa watu uliokuwa ukitarajiwa.
Nampongeza Kenyatta kwa kuamua kutulia na kumuacha Odinga afanye alichokusudia bila ya kubugudhiwa na police, hii imeepusha sana umwagikaji wa damu .
Hongereni askali police wa KENYA.
Nampongeza Kenyatta kwa kuamua kutulia na kumuacha Odinga afanye alichokusudia bila ya kubugudhiwa na police, hii imeepusha sana umwagikaji wa damu .
Hongereni askali police wa KENYA.