Jeshi la Kenya limetumia busara sana.

PintoG

JF-Expert Member
Jun 12, 2017
612
731
Dunia ilitarajia leo yangetokea machafuko wakati Odinga akijiapiza kuwa raisi wa watu wa kenya.ilitarajiwa police wa kenya wangezuia na kusababisha umwagikaji wa damu hasa kutokana na umati mkubwa wa watu uliokuwa ukitarajiwa.
Nampongeza Kenyatta kwa kuamua kutulia na kumuacha Odinga afanye alichokusudia bila ya kubugudhiwa na police, hii imeepusha sana umwagikaji wa damu .
Hongereni askali police wa KENYA.
 
Unajua wakenya ni watu jasiri sana , na kizuri wamempata raisi mwenye akili sana kenyatta ana akili sana na kupenda kushauriwa ndio kunamfanya awe bora zaidi

Na hiyo ndio faida ya kuwa karibu na viongozi wenye akili duniani ni lazima na ww utakuwa msataharabu tu, katumia akili sana kuzuia kumwagika damu

Mwisho wa siku ukweli unabaki pale pale kuwa yeye ndiye raisi halali wa kenya
 
Dunia ilitarajia leo yangetokea machafuko wakati Odinga akijiapiza kuwa raisi wa watu wa kenya.ilitarajiwa police wa kenya wangezuia na kusababisha umwagikaji wa damu hasa kutokana na umati mkubwa wa watu uliokuwa ukitarajiwa.
Nampongeza Kenyatta kwa kuamua kutulia na kumuacha Odinga afanye alichokusudia bila ya kubugudhiwa na police, hii imeepusha sana umwagikaji wa damu .
Hongereni askali police wa KENYA.
Wale wanajitambua sio wa kupelekeshwa vitu vingine ni busara tu kwani akiapishwa anakunyimia nn usingizi,mwache aapishwe ikulu nyumbani kwake,kule hata maandamano anamaneni na ulinzi mtapewa,mkichoka mrudi home mkalale.
 
Ni jambo kupewa pongezi kwa jeshi la polisi la Kenya,ingelikuwa nchi Fulani ndo ungeliona polisi wanavyotanda mtaani na kuwaua wananchi wasio na hatia.piga tu.
 
Jamaa balaa, haikutegemewa kama umati huu ungepata nafasi ya kukutanika uwanja uleule alioapishwa yeye
 
Kilichonifurahisha baada ya kuona odinga anajiapisha akakimbia Ethiopia kurudi nyumbani kuhofia odinga asije akaenda ikulu
 
Rais Uhuru Kenyatta ni mfano wa kuigwa katika jamii ya viongozi wa kiafrika.

Alichofanya ni kumfanya Raila aonekane kama kituko hivi.
 
Kilichonifurahisha baada ya kuona odinga anajiapisha akakimbia Ethiopia kurudi nyumbani kuhofia odinga asije akaenda ikulu

Hivi ni "amekimbia" mkutano Na kurudi nyumbani au ni Mkutano umeisha sasa karudi nyumbani?
 
Unajua wakenya ni watu jasiri sana , na kizuri wamempata raisi mwenye akili sana kenyatta ana akili sana na kupenda kushauriwa ndio kunamfanya awe bora zaidi

Na hiyo ndio faida ya kuwa karibu na viongozi wenye akili duniani ni lazima na ww utakuwa msataharabu tu, katumia akili sana kuzuia kumwagika damu

Mwisho wa siku ukweli unabaki pale pale kuwa yeye ndiye raisi halali wa kenya

Malizia”Kwa mujibu wa katiba”
 
Kwingne wangenunuliwa tuu.... unawanunua mpka wanabaki wachache...
Wanaokataa wape kesi uone kma siku ya kuapisha atakuepo mtu....
Hyo nayo ni busara ya kisukuma..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom